ππππSiwezi fanya TGS DKuna moja yyote ya TA umeshafanya ??au tumefanya za taalumaa zetu tu za TGS E au D ?[emoji3][emoji3]
PAYE yenyewe tu ni zaidi ya 1.7milHuu ni Uongo, huwezi kuwa na salary ya 5.7M halafu take home iwe 4.6M
ππππNitaenda tu kwakua ni jobless lakini daaahKama inatokea NAFASI yako inaonesha TGS D vip utaoomba?? Au unaghairi mapema wizy
πππππMwifwa yupo TGHS ni tofauti na TGSSasa Mwifwa si anazitaka za mchumi ii, mtakwimu ii, zinasema TGS D zile za MDAs na LGAs ambazo Bado ,, au ni mzee wa IT nn
Aisee [emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwifwa yupo TGHS ni tofauti na TGS
Sasa kusimamia wafagiaji si ni sawa na wewe kuwa mfagiaji nduguWarden wa chuo gani anafagia?
Mbona una dharau mkuu
Nasikitika kumbe hukupats jibu watu walianza kunishiana misuli. Tencnical staff vs lecturer. Beter late than never, hilo group wengi wapo kwenye salary scale Ya Pggs 6. Ni sawa na 1,195,000/ Hizi ni kwenye vyuo au taasisi yenye nembo ya SU kwenye garMfano: Ngazi ya degree
Admission officer
Examination officer
Warden
e.t.c
Ahsante
Vipi na pmgss 6 ni kiasi gani mkuu?Nasikitika kumbe hukupats jibu watu walianza kunishiana misuli. Tencnical staff vs lecturer. Beter late than never, hilo group wengi wapo kwenye salary scale Ya Pggs 6. Ni sawa na 1,195,000/ Hizi ni kwenye vyuo au taasisi yenye nembo ya SU kwenye gar
U O N G O .Uliza acha ligi, nina kaka angu kaajiliwa mwaka juzi ni lecturer pale institute of social work kipo sinza bamaga analipwa million 5 na laki saba, take home ni million nne na laki tisa
Hili swali atajibu Mpwayungu VillageππππSiwezi fanya TGS D