kisanganyakiswata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 1,299
- 552
Kumbuka alitoka mtibwa kuja simba hayo nimakubaliano yao aliposaini kandarasi tutarajie ijayo itakua na ofa nzuriHuyo dogo kichuya mbona anachokipata ni tofauti na jitihada zake uwanjani.
Hawa simba ni wapuuzi sana, sijui wanesoma WAP management unawachezesha VIP wachezaj kwenye team Moja huku mmoja analipwa million nane na nwingine moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio wage bill ya Klabu ya Simba SC kwa msimu 2017/18. Takriban milioni 100 kila mwezi kutumika kulipa mishahara tu.
Kiungo wa zamani wa mabingwa wa kihistoria Dar es Salaam Young Africans SC aongoza.
View attachment 565300
Yule neymar kule anachukua sawa na wenzake?Hawa simba ni wapuuzi sana, sijui wanesoma WAP management unawachezesha VIP wachezaj kwenye team Moja huku mmoja analipwa million nane na nwingine moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia idadi ya 'ushiriki' katika ligi za klabu za Afrika, bila kusahau idadi ya magoli ya kufunga na kufungwa katika ligi hizoUnapo ulizia Yanga SC anza kuulizia Idadi ya Mataji, then unakuja kuulizia vinginevyo..?
Hivi unasikiaje kuweka mshahara wa mtu hadharani?Hii ndio wage bill ya Klabu ya Simba SC kwa msimu 2017/18. Takriban milioni 100 kila mwezi kutumika kulipa mishahara tu.
Kiungo wa zamani wa mabingwa wa kihistoria Dar es Salaam Young Africans SC aongoza.
View attachment 565300
Tutamchukua kuziba pengo la MsuvaHuyo dogo kichuya mbona anachokipata ni tofauti na jitihada zake uwanjani.
Walipaji wameamua hivyo, we unawashwa na nini?
HA HA HA HAUnapo ulizia Yanga SC anza kuulizia Idadi ya Mataji, then unakuja kuulizia vinginevyo..?
Njoo nikune, hovyo sana wewe watu wanakiuka maadili ya kazi wewe unashabikia, unafikiri wao wenyewe watajisikiaje? Mtu mwenye akili timamu hawezi shabiki upuuzi huu.Walipaji wameamua hivyo, we unawashwa na nini?
Ni kweli kabisa, hata waliotoa siri ya mshahara wa Neymar Jr ni wapuuzi, yaani anapokea pound 500k wakati wenzake wanapikea pound 50k. Sijajua hii tabia waTanzania wameitoa wapi?Hivi watanzania tumefikia hatua ya kutoa siri za watu kiasi hiki, nijuavyo mshahara ni siri ya mwajiri na mwajiriwa, sasaleo kama mabo yako wazi hao wengine watajisikiaje, we unapokea 2.4 mwenzio 8.7 na wote mko first eleven. hebu tuachaneni na hii habari tutawavunja moyo wachezaji wetu pia ndo mwanzo wa kupenyeza chuki. Mwana Simba halisi
Bondeni Chirwa ndio kinara wa mshahara, milioni nane, ndio maana Niyonzima naye akataka alipwe kiasi kama hicho. Yanga ikamkataliaImepikwa hii.. Na upande wa Bondeni
Ni kweli kabisa, hata waliotoa siri ya mshahara wa Neymar Jr ni wapuuzi, yaani anapokea pound 500k wakati wenzake wanapikea pound 50k. Sijajua hii tabia waTanzania wameitoa wapi?
Kama nilivyoeleza hapo juu, mtoa mada hana nia nzuri na Clabu ya Simba.Hivi watanzania tumefikia hatua ya kutoa siri za watu kiasi hiki, nijuavyo mshahara ni siri ya mwajiri na mwajiriwa, sasaleo kama mabo yako wazi hao wengine watajisikiaje, we unapokea 2.4 mwenzio 8.7 na wote mko first eleven. hebu tuachaneni na hii habari tutawavunja moyo wachezaji wetu pia ndo mwanzo wa kupenyeza chuki. Mwana Simba halisi
Mbona ulaya wanaweka wazKama nilivyoeleza hapo juu, mtoa mada hana nia nzuri na Clabu ya Simba.
Mshahara ni Siri ya mwajiri na mwajiriwa.
Unauwekaje mshahara wa mtu hadharani bila ridhaa yake ?
Ametoa wapi ducomenti ya malipo ya wachezaji wa Simba sc.
Nia yake ilikuwa ninini ?
Kwa nini hajaweka mchanganuo wa malipo ya wachezaji wa Yanga fc
Haya ni matumizi mabaya ya mtandao
Huyo "demigod" anahusika pia kuwahonga akina Mzee Kilomoni na Bi Hindu ili kulela mgogora hapo Simba sc.
"demigod" hunamamlaka ya kuweka mtandaoni nyataka za siri za Simba sc
Kitendo ulichokifanya ni cha uharamia dhidi ya timu ya Simba sc.
Ipo siku utalipa hujuma zote unazoifanyia Simba sc
Pambana na Clabu yako ya Yanga fc.