nina experience na hili ukitaka kutoelewana ndani basi muulize mshahara wake
kama ataki kushare salary, basi na wewe wako usitumia kila mtu ale mshaala wake
...................JINO..... kwa..........JINO bana......., ndiyo maisha ya Dot.COM
Huo ndo mpango mzima.
nina experience na hili ukitaka kutoelewana ndani basi muulize mshahara wake
Mshaara wa mwanamke unaishia kwenye mavazi na urembo!
Kwa nini iwe hivyo?
Bas na hujisimamii,iweje yy asichangie kuendeleza familia yenu?? familia ni ya baba na mama! so kwa nn yeye ajitoe na ww umekubali!!! achape lapa tu!! ama unamwogopa??
Wanawake wengi wanaitaji fedha muda wote na wanachokipata wanaona hakitoshi so chake ni chake na changu ni chake wengi tulio na wanawake wafanyao kazi "tunateseka kwelikweli"