mshahara wa mwanamke ni kuishia saluuni babu,hujui sie wanawake ni mapambo ya nyumba lazima tupendeze muda wote?lol....
ukiwa una date na mtu jaribu kuwa muwazi kwa mkeo mtarajiwa,mipango yako ya baadae na kumshirikisha pia. ....eg umeona kiwanja na unataka kununua,unaweza ukamshirikisha kwa kumwambia akuongezee kiasi fulani cha pesa...sio lazima iwe nusu kwa nusu.................,na hata mkitoka sio ujionyeshe wwe ndio kidume kwa kulipia kila kitu...unaweza kumwambia unalipia chakula yeye alipie drinks....ukijenga tabia hii tangu mwanzo...utamfanya achukue rensponsibilities na yeye,awajibike hata kwa mambo yanayofuata ktk ndoa yenu....wengi wanakosea tangia mwanzo anamjenga mpenzi wake kuwa tegemezi kila kitu hadi vocha baadaye inakuwa ngumu kubadilisha system........
na pia mkeo ni rafiki yako,tangu mwanzo kuwa na tabia ya kuwasiliana naye jambo unalopenda na usilopenda....hii itakurahisishia baadae kumface na kumwambia jambo lolote kama unaona anaenda sivyo.usiwe mtu wa kunyamaza kimya au kujifanyia mambo mwenyewe itakucost siku moja.