YesKwahyo wakufunzi hata ukiwa na master degree wao watakulipa kwa ngazi ya degree tuu?
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YesKwahyo wakufunzi hata ukiwa na master degree wao watakulipa kwa ngazi ya degree tuu?
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Mwl wa chuo ni wa chuo regardless whatWasikutishe. Kwa kawaida Mkufunzi mwenye Bachelor Degree ambaye hufundisha chuo kikuu huitwa Tutorial assistant. Huyu mshahara wake hulipwa kutumia PUTS 1.1 kama sikosei, ambayo ni zaidi ya milioni moja na ushee.
Mwalimu wa sekondari mwenye degree, hulipwa TGS D. Ambayo kimsingi ni kama laki saba.
Allowances kwa mkufunzi wa chuo kikuu ni nyingi sana. Sijui kwa hizi collages mishahara yao huwa vipi. Pia sijui kwa vyuo visivyo vya serikali wanalipwa vipi.
Sent using Jamii Forums mobile app