Wapendwa mimi nadhani hawa watu wa hazina wana malengo safi tu kwa kuamua kuwawekea watu mishahara moja kwa moja kwani watakuwa wamefanya uhakiki wa kutosha kuhusu mishahara hewa na wale wanaolipwa mara mbili mbili, lkn tatizo lao hawajajipanga kwa hilo, kwani watumishi ni wengi mno kuwawekea mishahara lwa timu ndogo kama ya hazina, ninaeongea hapa nami si mwalimu wala si nesi, lkn ninamajanga.
Tuvumilieni hata kama Idd itakiwa dolo hatuna jinsi, twende tukope kwa waliopata ili mambo yafanane siku ya sikukuu wapendwa.