guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
Wakuu wasaalam,
Poleni na changamoto ya baa la korona. Mimi ni mchoma mishikaki ya ng'ombe inayotokana na nyama ile ya juu ya tumbo, ile yenye nyuzi nyuzi ijulikanayo kama Nemba.
Kwa hapa nilipo Nemba moja inakost kati ya 8k-12k. Na ukiikata vizuri inatoa mishikaki kati ya 100-200
Ukipata ng'ombe aliyenona mishikaki ufika hata 250. Hivyo ukitoa mkaa, viungo ,mishikaki ya nyongeza na gharama zongine ndogo,faida ipo na ni uwa kati ya 5k-15k
Kwa nia ya kukuza biashara yangu ningependa kujuzwa ni wapi naweza pata nyama hii kwa bei ya chini ya 10k?
Niko tayari kuhamia hapo ili kufanya kazi.
Meatu,Simiyu.
Poleni na changamoto ya baa la korona. Mimi ni mchoma mishikaki ya ng'ombe inayotokana na nyama ile ya juu ya tumbo, ile yenye nyuzi nyuzi ijulikanayo kama Nemba.
Kwa hapa nilipo Nemba moja inakost kati ya 8k-12k. Na ukiikata vizuri inatoa mishikaki kati ya 100-200
Ukipata ng'ombe aliyenona mishikaki ufika hata 250. Hivyo ukitoa mkaa, viungo ,mishikaki ya nyongeza na gharama zongine ndogo,faida ipo na ni uwa kati ya 5k-15k
Kwa nia ya kukuza biashara yangu ningependa kujuzwa ni wapi naweza pata nyama hii kwa bei ya chini ya 10k?
Niko tayari kuhamia hapo ili kufanya kazi.
Meatu,Simiyu.