Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Sehemu zote zenye vein zinauma mikono na kwenye maungio ya miguu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vein ziko mwili mzima mkuuSehemu zote zenye vein zinauma
mikono ,kwene maungio ya miguu
Ndio ndo maana nimesema kwene maungio na mikonoVein ziko mwili mzima mkuu
Mkuu nenda kwa Neurologist hospitali.Sehemu zote zenye vein zinauma
mikono ,kwene maungio ya miguu
SIO ule ugonjwa wa Celine Dion kweli HUO? Ugonjwa wanaumwa watu wachache sana Dunia nzimaSehemu zote zenye vein zinauma
mikono ,kwene maungio ya miguu
Jina lake maana yake nini kwani? Maana MIMI nimetoka patupu,Unatumia jina kubwa, alafu case ndogo kama hii inakusumbua mkuu...
Acha kula nyama ya mbuzi utaponaSehemu zote zenye vein zinauma
mikono ,kwene maungio ya miguu
Sehemu zote zenye vein zinauma
mikono ,kwene maungio ya mwewe ni mlevi wa pombe???
Aende hospitali ndio itakua vizuri zaidi lo
hapana inawapata waleviWewe ni mlevi???
vpimo vya mkojo damu hamna kituAende hospitali ndio itakua vizuri zaidi lo
sina gautiAcha kula nyama ya mbuzi utapona
Hapana mkuuUshawah fanya mazoez magumiu na ukaacha kufanya kwa muda mrefu?