Misiba ya Ruge na Kibonde imesahaulika haraka

Misiba ya Ruge na Kibonde imesahaulika haraka

Sijui kwanini nahisi kama msiba wa watu Hawa wawili umefutika mapema mno mioyoni mwa wengi. Nilitaka angalau kuendelea kusikia Mambo mbalimbali ya kujifunza, kuhamasika, kujikumbusha n.k kuhusiana na maisha Yao na Chanzo Cha vifo vyao.

Lakini kinyume na hapo nimeona kila mtu ni kama ameshapotezea, yaani unaweza kufikiria msiba Ni wa mwaka jana kumbe umetokea mwezi uliopita tu.

Shida ni nini watanzania tumekuwa na Mambo mengi na story nyingi au ndo kila mtu apambane na Hali yake kwa Sasa.

Anyway Mambo yasiwe mengi tukumbushane kufanya mema na kushika zile amri na maagizo tulizoachiwa. We ambaye huamini kuna kifo tambua kipo na kila kunapokucha siku ya kufa inakaribia.
Mkuu ulitaka tuwe tunaikumbuka kama wa baba wa taifa na moringe sokoine au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao watu walikuwa maarufu ndio ila hawakuwa maarufu kwa kiwango kikubwa kama walivyopigiwa promo kwenye misiba yao, umaarufu wao haukunata kwenye jamii yote ispokuwa ulibase kwa watu fulani fulani...na ndo mana uhalisia umajitokeza sasa, watu wamesahau, ni kama tu kifo cha wazir au mbunge au mkrugenzi wa shirika fulani lenye nguvu atasahaulika soon tu cause impact yao inabagua baadh ya makundi..ni tofaut na Kanumba au Nyerere, hawa waligusa jamii yote, na ndo mana walipofariki jamii yote ilitaharuki na stilll up to date watu wanawakumbuka
We jamaa una akili Sana nimekuelewa sana
 
Wote ndugu tutakuwa hivyo hivyo, watoto, mke, ndugu na marafiki watakusahau muda mfupi tu baada ya kudondoka, kubaliana nayo sababu ni hali halisi, na ndio maana watakiwa kula life kinoma, kajumba kamoja, gari nunuwa utakazo, bia, fegi totoz na kila aina ya bata wewe kula tu, maana uwe unajifungia home na wife au tofauti na hapo haijalishi, ukifa gurudumu la maendeleo na maisha haliwezi katu kukusubiri wewe urudi kama yesu au lisimame sababu umekufa, mke ataolewa au kupigwa mpini na wengine na watoto wataendelea na maisha kama haupo vile...
 
Kwanza hawakua maarufu kihivyo,pili walichanganya Maisha na Siasa za CCM,
Ni Kama Komba na CCM alisahaulika ndani ya Wiki..
 
Sijui kwanini nahisi kama msiba wa watu Hawa wawili umefutika mapema mno mioyoni mwa wengi. Nilitaka angalau kuendelea kusikia Mambo mbalimbali ya kujifunza, kuhamasika, kujikumbusha n.k kuhusiana na maisha Yao na Chanzo Cha vifo vyao.

Lakini kinyume na hapo nimeona kila mtu ni kama ameshapotezea, yaani unaweza kufikiria msiba Ni wa mwaka jana kumbe umetokea mwezi uliopita tu.

Shida ni nini watanzania tumekuwa na Mambo mengi na story nyingi au ndo kila mtu apambane na Hali yake kwa Sasa.

Anyway Mambo yasiwe mengi tukumbushane kufanya mema na kushika zile amri na maagizo tulizoachiwa. We ambaye huamini kuna kifo tambua kipo na kila kunapokucha siku ya kufa inakaribia.
Ngoja afe Baba yako mzazi utapata vizuri taste ya msiba.
 
kafa stive jobs wa apple hitakuwa hawa.sijui nani aliwahi kuandika
"kama ukifa bila kuacha kumbuku zisiko kufa basi ndio hutakuwa umekufa kila kitu"
Sijui kwanini nahisi kama msiba wa watu Hawa wawili umefutika mapema mno mioyoni mwa wengi. Nilitaka angalau kuendelea kusikia Mambo mbalimbali ya kujifunza, kuhamasika, kujikumbusha n.k kuhusiana na maisha Yao na Chanzo Cha vifo vyao.

Lakini kinyume na hapo nimeona kila mtu ni kama ameshapotezea, yaani unaweza kufikiria msiba Ni wa mwaka jana kumbe umetokea mwezi uliopita tu.

Shida ni nini watanzania tumekuwa na Mambo mengi na story nyingi au ndo kila mtu apambane na Hali yake kwa Sasa.

Anyway Mambo yasiwe mengi tukumbushane kufanya mema na kushika zile amri na maagizo tulizoachiwa. We ambaye huamini kuna kifo tambua kipo na kila kunapokucha siku ya kufa inakaribia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naungana na wewe mkuu, nadhani msiba kama wa Ruge Clouds waliukuza Sanaa kutokana na media zao tu, ukitoa wadau wa burudani sidhani kama Ruge alikuwa na umaarufu huooo ukifananisha na mtu kama Kanumba.
Hawakuwa maarufu kama unavodhani wewe
labda kwa waliokuwa wanasikiliza cloudsfm

huwezi kuwafananisha na steven kanumba
ambae kifo chake kili trend sana mwaka na zaidi

'Gear yourself to solutions in every problem'
 
Vip na Akwilina maana huyu yupo kichwani na hakuwahi kuwa maarufu kabla ya umauti
 
Back
Top Bottom