Uchaguzi 2020 Misingi imara ambayo Mwl. Julius Nyerere aliwaachia watanzania imesababisha CHADEMA ipoteane wakati wa kampeni

Mkiwa hamna hoja acheni wengine waandike!Ika ukitaka kuandika wewe tu mwisho wa siku unajikuta unaandika vitu vya kawaida kabisa ambavyo unadhani ni propaganda yenye uhai,kumbe watu wanakuona ni "walewale"!
Ahaaa. Bado siku 52 watu tutashuhudia mengi.
 
Mkuu huu ujinga uko ccm pekee tu, waweza kuta na wewe ni mtu mzima. Mimi kama ningekuwa Polepole leo usingepata hiyo buku7
 
Wengine hawajui wanasimamia hoja gani,binadamu anayo mahitaji muhimu mengi.
Kwa mfano sioni shida ya Magufuli kujigamba kwa kuharakisha umeme wa REA au kutafuta vyanzo vipya vya kuzalisha umeme rahisi kama Ujenzi wa Bwawa la Nyerere.

Sisi tungehoji uhakika wa kupata umeme masaa 24 bila kukosa,na salama.Pia tutahoji bei yake kama ni nafuu.Vile vile tutahoji kama huduma ipo wazi bila mizengwe.Ajira ngapi za kudumu na za muda zimetengenezwa kwa miradi hiyo.Je serikali imeifanya kwa ufanisi au hapana.Je makampuni ya wazawa yanashiriki kikamilifu.
Hayo ndio tungewabana wakatoa majibu lakini sisi tunasema sio maendeleo hivyo hayana maana.
 

Huna akili....hoja mfu mkulu wenu angehangaika kujibu kwa kutapa tapa..hani imefikia hatua akipanda jukwaani anajibu hotuba za wenzake...

Nyie mmeisha
 
Watz wanataka mabadiliko...... Hawamtaki kidudumtu aliyeharivu nchi Kw miaka 5
 
Ni vigumu saana kwa watanzania kuchagua upinzani hii inasababishwa na mfumo wa kijamaa

watanzania wengi wanaamini wapinzani wapo kwa maslahi ya wazungu
Hata hivyo ni kweli..ukitazama kwa makini unaona wazi wapinzani wana uchu tu wa kujiona ni Rais au waziri mkuu,wana uchu wa madaraka na pesa na wala siyo uchungu wa wananchi,hawawezi kufanya chochote cha maana zaidi ya yote baada ya muda utasikia tena wananchi hawa hawa wanalalamika na wao kama wapiga dili wataishia kusema muda hautoshi CCM iliharibu inchi...yani kiufupi tukisema kuwapa wapinzani ili inchi ifanyiwe majaribio tumekwisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…