Misitu inazidi kupungua Afrika, kuna hatari miaka 100 ijayo wajukuu zetu wakaishi katika jangwa

Misitu inazidi kupungua Afrika, kuna hatari miaka 100 ijayo wajukuu zetu wakaishi katika jangwa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011

Eneo la misitu mikubwa iliyobaki ni misitu ya Congo. Afrika tunatumia miti kwa kiwango kikubwa kuanzia kujengea, kupikia na hata dawa mitishamba.

Wenzetu ambao hawatumii miti kama sisi lakini wanafahamu umuhimu wa kupanda miti. Sehemu yenye miti huru Liza hata ufanyaji kazi wa ubongo na kuupa mapumziko.

Ikiwezekana katika mvua za masika panda miti kumi, haijalishi kama ni ya mbao ya matunda lakini lengo ni kuongeza kijani.
 
You are too obsessed with the future.....Technology kama robot,Artificial intelligence na pia Inflation itapunguza population na kuwafanya hao wachache wawe too discipline,yatakuja majeneza ya plastic,maana ni ujinga kukata miti Kisha kuuzika na binadamu wakati kuna watoto wanakaa chini madarasani.
 
Misitu inaficha waasi na makundi ya kigaidi ndio maana vikosi vyote vya ADF, M23, SPLA na vikosi vya lord resistance army vinakimbilia msitu wa Kongo. Ule msitu uchomwe moto wote ili kufukuza makundi haya, sasa sijui watajificha wapi
 
Duniani sio kwetu mkuu tusipoiteketeza misitu mungu ataiteketeza siku ya kiama ambayo sio mbali sana kuanzia mwaka huu wa fedha
 
Duniani sio kwetu mkuu tusipoiteketeza misitu mungu ataiteketeza siku ya kiama ambayo sio mbali sana kuanzia mwaka huu wa fedha
Wewe ni msabato? Maana ujinga huu huwa nausikiaga kwa Wasabato tu kuanzia Hellen G White alitabiri mwisho wa dunia akafa yeye na dunia inaendelea mpaka leo.
 
You are too obsessed with the future.....Technology kama robot,Artificial intelligence na pia Inflation itapunguza population na kuwafanya hao wachache wawe too discipline,yatakuja majeneza ya plastic,maana ni ujinga kukata miti Kisha kuuzika na binadamu wakati kuna watoto wanakaa chini madarasani.
Majeneza ya plastiki hayatafaa, yataulinda mwili usisambae wakati inatakiwa miili ioze itawanyike iachilie viinilishe kwa ajili ya uhai moya wa mimea na kisha wanyama tena..... tutumie mbao au sanda tu kama tutaona mbao ni hasara
 
Back
Top Bottom