Misosi ya Serena hotel

Misosi ya Serena hotel

Iyo black dot ktk avatar yangu inamyumbisha
 
Kweli mama, umeniambia hapa coconut chicken bei ni USD 25 Inakuwa na ubwabwa kiduchuuuu.

slmnd bei hiyo kaninong'oneza,bei halisi kabisa sio ya kuhisi.
Kweli au ila ngoja niingie ktk website yao
 
Kweli au ila ngoja niingie ktk website yao
Ni kweli,fanya mawasiliano nao itakuwa vyema maana kwenye website hamna bei zaidi ya ku book restaurant tu,ila si vibaya fanya booking watakupigia ila ni vyema ukapiga simu kufahamu yote hayo mapema.
 
Watu kama hawa ni wachache sana, asee nikifanikisha nitakualika next week tujumuike au kunywa Kilimanjaro water hapo ulipo ya baridiii utalipa
Maji madogo tu ya kilimanjaro ni elfu nne.

Hapo utapata mwangaza kidogo.
 
Moja ya njia wanazotumia pale Wanacharge kichwa halafu unachagua ule nini, bei itabaki pale pale.

Humu, wengi Njaa tuu,
Wana JF wengi Wanapiga Pasi ndefu na wengine, Wanaojitahidi Ni makande Full package..
Wel
Wazee weekend inaingia, kuna mitoko na familia, nauliza bei ya misosi ya Serena hotel ikoje?

Mwanaume nataka kubadili upepo kidogo Mke na watoto wangu wasizoee sehemu za kawaida ,

nailed 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom