Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Watu 32 wamefariki na wengine 63 kujeruhiwa leo, katika ajali iliyohusisha basi la abiria na magari kadhaa kugongana na baadhi kuwaka moto katika mkoa wa Beheira nchini Misri kwenye barabara ya Cairo-Alexandria, kilomita 131 kaskazini mwa mji mkuu Cairo.
Ripoti zianaeleza wengi waliofariki vifo vyao vilisababishwa na mto uliozuka kwenye mgongano wa magari hayo ambapo jumla ya magari maalum ya kubeba wagonjwa 20 yalitumwa kwenye eneo la ajali kutoa msaada kwa majeruhi.
Waziri wa afya wa Nchi hiyo Dkt Khaled Abdel Ghaffar amesema waliojeruhiwa walihamishiwa hospitali moja huko Wadi al-Natrun, huku wengine wakipelekwa Al-Nubaria.
Ripoti zianaeleza wengi waliofariki vifo vyao vilisababishwa na mto uliozuka kwenye mgongano wa magari hayo ambapo jumla ya magari maalum ya kubeba wagonjwa 20 yalitumwa kwenye eneo la ajali kutoa msaada kwa majeruhi.
Waziri wa afya wa Nchi hiyo Dkt Khaled Abdel Ghaffar amesema waliojeruhiwa walihamishiwa hospitali moja huko Wadi al-Natrun, huku wengine wakipelekwa Al-Nubaria.