Misri: Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu 21 akutwa akiwa amelewa

Misri: Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu 21 akutwa akiwa amelewa

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Polisi walimkamata dereva huyo baada ya uchunguzi wa awali wa kiwango cha Ulevi kuonesha alikuwa ametumia Dawa za Kulevya.

Watu 14 walionusrika kwenye ajali wamesema Dereva wa basi lilotumbukia kwenye mfereji katika eneo la Nile Delta Nov 12, 2022 alikuwa akitumia Simu huku akiendesha.

Takwimu za mwaka 2021 watu 7,000 walifariki kwenye ajali huku Usimamizi Mbovu na Utekelezaji Hafifu wa Sheria za Barabarani ukitajwa kuwa chanzo kikuu cha ajali hizo.

=========================

At least 21 people have been killed when a minibus fell into a canal in northern Egypt’s Nile Delta region, the health ministry said. The bus was carrying some 35 people when it derailed on a highway on Saturday and fell into Mansuriya canal in Aga town, in the northern governorate of Dakahlia, according to security sources.

Prosecutors said police had arrested the driver after a preliminary drug test suggested he had been driving under the influence of narcotics. They said he was also suspected of using a mobile phone at the wheel at the time of accident.

Emergency crews recovered the heavily damaged minibus from the canal, an AFP photographer reported. Traffic accidents are common in Egypt where roads are often poorly maintained and driving rules flouted. Dr Sherif Makeen, a health ministry official, said three children were among the dead.

Traffic accidents are common in Egypt where roads are often poorly maintained and driving rules flouted. In 2021, approximately 7,000 people were killed on the roads of the Arab world’s most populous country, according to official figures.

In July 25 people died and 35 were injured in central Egypt when a bus crashed into a truck parked on the side of the road.

AL JAZEERA/ NATION
 
Back
Top Bottom