Misri: Msanii wa kike aliyeonekana kwenye video ‘akila ndizi kwa mbwembwe’ akamatwa na polisi

Hiyo 69 alimaanisha anakunyonya gegedo na wew unanyonya parpuchi
 
Kwa hapa tz hio sheria labda kizazi cha 7 ndo inaeza Fanya kazi
 
Utakulaje ndizi kwa mbwembwe wakati wenzio wanakufa kwa njaa..! Afungwe tu huyo..!
 
Kula ndizi sio shida baby shida ni style unavyo ila hiyo ndizi hususan mbele ya kadamnasi kama unaramba cone ndivyo ndizi iliwavyo??[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sasa si kila mtu ana style yake ya kula teh
Walitaka ale kama anatafuna jiwe ha ha ha
 
Usisahau Hao wamisri bado ni. waafrika tuu, na akiliyao bado na e ya kuafrika
 
Mm ndizi napenda kuikata kata vipande ndo nakula cwez kushika nzma kula mbele wa watu
 
Usile ndizi huku unamwangalia mtu machoni, huo ni ukosefu wa adabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…