Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Israel ilijua zamani kuwa bila kuzitumia nchi mbili zilizo jirani yake kama kinga dhidi ya uvamizi wa taifa la Palestina basi hawataweza kuendelea kuwapo pale kama taifa.Nguvu ya kijeshi wanayojilimbikizia kwa msaada wa taifa la Marekani wala hazina athari kubwa kuliko unafiki wa viongozi wa nchi mbili hizi zinazopakana nayo ambazo ni Jordan na Misri.
Ushahidi wa manufaa ya mikataba hiyo imeonekana katika vita vya mwaka huu 2021 baina ya Israel na Palestina.Kule Sudan na Misri siku mbili kabla ya kusitishwa vita tayari wananchi wa nchi hizo walikuwa wamepandwa na hasira wake kwa waume wakitaka wafunguliwe mpaka ili waingie Israel wakajitoe muhanga.
Hali ilikuwa kama hiyo nchini Jordan ambako mara kadhaa jeshi la nchi hiyo lilipambana na wananchi waliojaribu kuvuka daraja la mfalme Hussein linalozitenganisha Jordan na upande wa Palestina uliozingirwa na Israel wa Ukingo wa magharibi.
Mkataba wa Jordan na Israel ulitiwa saini mwaka 1994 wakati wa uhai wa mfalme Hussein na waziri mkuu Yitzhak Rabin ulioshuhudiwa na raisi Bill Clinton.
Mkataba baina ya Misri na Israel ulitiwa saina mwaka 1979
Egyptian president Anwar Sadat, US president Jimmy Carter, center, and Israeli prime minister Menachem Begin clasp hands on the north lawn of the White House as they sign the peace treaty between Egypt and Israel, March 26, 1979. (AP/Bob Daugherty)
Ushahidi wa manufaa ya mikataba hiyo imeonekana katika vita vya mwaka huu 2021 baina ya Israel na Palestina.Kule Sudan na Misri siku mbili kabla ya kusitishwa vita tayari wananchi wa nchi hizo walikuwa wamepandwa na hasira wake kwa waume wakitaka wafunguliwe mpaka ili waingie Israel wakajitoe muhanga.
Hali ilikuwa kama hiyo nchini Jordan ambako mara kadhaa jeshi la nchi hiyo lilipambana na wananchi waliojaribu kuvuka daraja la mfalme Hussein linalozitenganisha Jordan na upande wa Palestina uliozingirwa na Israel wa Ukingo wa magharibi.
Mkataba wa Jordan na Israel ulitiwa saini mwaka 1994 wakati wa uhai wa mfalme Hussein na waziri mkuu Yitzhak Rabin ulioshuhudiwa na raisi Bill Clinton.
Mkataba baina ya Misri na Israel ulitiwa saina mwaka 1979
Egyptian president Anwar Sadat, US president Jimmy Carter, center, and Israeli prime minister Menachem Begin clasp hands on the north lawn of the White House as they sign the peace treaty between Egypt and Israel, March 26, 1979. (AP/Bob Daugherty)