Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Swala la ushoga liko kwa jamii zote usiwazingizie wazungu na unataka kuamisha mada kijanjaMkono wa mungu ulio hai ndo huu wa hawa wazungu akina Netanyahu waliodhinisha wanaume kwa wanaume wakanyagane au ?
Sawa Haina mashiko, ntajie hao watawala wa palestina kwa majina kabla ya 1947 mbona unakwepa swaliHata hapa bongo wapo waisrael waliozaliwa kabla ya uhuru, hata Germany wapo waisrael waliozaliwa huo mwaka so hoja yako haina mashiko, tunachojua sisi wale waliokotezwa baada ya kufukuzwa ulaya na kuletwa pale. Unakataa kuwa hakukuwa na taifa la palestina ila unakubali ya kuwa pale walikuwepo waarabu, sasa kwani we ktk akili yako unavyosikia taifa ni nini kama si hao waarabu unaowasema au unajua taifa labda ni miti
Na wewe nikuulize kabla ya huo mwaka 1947 muingereza alikuwa anamtawala nani pale?Sawa Haina mashiko, ntajie hao watawala wa palestina kwa majina kabla ya 1947 mbona unakwepa swali
Pale kwenye taifa teule wameidhinisha kabisa yani ruksa kumuoa mwanaume mwenzio, sasa tangaza ndoa hapa bongo kwetu sie tusioteuliwa na mungu wa Israel ndoa na mwanaume mwenzio afu kama maji ujaita mmaSwala la ushoga liko kwa jamii zote usiwazingizie wazungu na unataka kuamisha mada kijanja
Utaratibu upi huo,wakutawaliwa na watu wa nje kama Rumi,Ottoman na Muingereza?Sielewi kwa nini unasisitiza kwenye nchi, hii jamii ilikuwepo tokea muda mrefu ni ilitawaliwa na dola mbalimbali kwa vipindi tofauti. Hata kama haikuwa nchi, bado ilikuwa na utaratibu wake wa uongozi.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Majibu yako yanatoka nje ya mada. Nimekujibu kwa kuangalia sababu ya wao kwenda Roma( chanzo changu wikipedia) na nimeona hiyo stori yao sio kweli kwa mazingira ya wakati huo. Wewe unanipinga kwa stori za vijiweni tu.Waliopelekwa kusaidia biashara na mambo ya uchumi kumbuka Jews wanasifa ya kuwa na akili hata Leo wayahudi hawafiki hata million 20 lakin Wana mabillionnaire wengi kuliko hata waarabu ambao wako million 300+
Unavyosema ni stori za kusadikika basi hata vita vya kwanza vya dunia ni stori za kusadikika sababu kitu usichokipenda kusikia unaita stori za kusadikika na mda huo huo unatumia kalender na vitu kibao vya wazungu
Unazungumza ujinga mtupu. ikiwa Hamas peke yao wameilazimisha Israel kusitisha vita unasemaje habari za waarabu wote.Hata mataifa yote ya kiarabu yainuke tena kama 1967, watapondwa vibaya mno. Nani anaweza kushindana na mkono wa Mungu aliye hai?.
Umeambiwa huyo babu alizaliwa Urusi pengine na wazee ambao hata mizeituni hawakuwahi kuiona
Ni Ariel Sharon nilikua namchanganya na shimon Peres, Yitzhak Rabin wamezaliwa IsraelUmeambiwa huyo babu alizaliwa Urusi pengine na wazee ambao hata mizeituni hawakuwahi kuiona.
We ndo hujui kitu hata nikikuambia mambo ya crusader utabisha, ukipata mda kasome kumbe napoteza mda hapa, waroma waliwachukua waisrael sababu walikua wanafanya nao biashara ningekutumia vitabu Ila nimehairisha sababu ntapoteza mda MB zangu bureMajibu yako yanatoka nje ya mada. Nimekujibu kwa kuangalia sababu ya wao kwenda Roma( chanzo changu wikipedia) na nimeona hiyo stori yao sio kweli kwa mazingira ya wakati huo. Wewe unanipinga kwa stori za vijiweni tu.
Nipe chanzo chako kinachosema walipelekwa Rome kusaidia uchumi. Kwanza hata hii hadithi yako ni ya kipuuzi pia sababu Roma ilikuwa imeendelea kuliko middle east kwa biashara, uchumi na sayansi. Pili tufanye walichukuliwa na Roma bila shaka walichukuliwa wasomi na wafanyabiashara wakubwa ambao kwa kawaida walikuwa wachache, sasa hao wasomi ndio wamezaliana hadi kufika idadi hii ya leo !!!
Hujui maana ya taifa teule ndo tatizo lako kubwa kama hujui sema hueleweshwePale kwenye taifa teule wameidhinisha kabisa yani ruksa kumuoa mwanaume mwenzio, sasa tangaza ndoa hapa bongo kwetu sie tusioteuliwa na mungu wa Israel ndoa na mwanaume mwenzio afu kama maji ujaita mma
Hao waisraeli weusi huwa mnawatoa wapi🤔Ndiyo, ni sahihi unachokisema.. Lakini leo hii wa Israeli halisi weusi kama ushahidi unavyo onyesha wakiamua kurudi hapo Yerusalemu wapelestna watakuwa na amani nao?.
Kwamba leo sijui mmatumbi akaishi hapo Yerusalemu inayokaliwa na Ashkenazi, wapalestina watawaacha mkae kwa amani et tu kwasababu wa Israeli halisi mmerudi?.
Ujue kwamba ili dai la wa Israeli fake linatumika kwa dhumni jingine, lakini hao Ashkanez wakitoka hapo hakuna mmatumbi wakutia pua yakw hapo, mtakufa wote kwa siku 1.
Turkey,Greece,Bulgaria,Egypt,Hungary,Macedonia,Romania,Jordan ndio dola la Ottoman, Siria na palestina walikua ni kabila Ndogo zilizounganishwa baadae miaka 1500 kwani walikua ni kabila zinahamahamaKabla ya hapo Palestina ilikuwa ikitawaliwa na watawala tofauti tofauti na si lazima waitwe wafalme au maraisi.Mara ya mwisho ilikuwa ni sehemu ya utawala wa kiislamu wa Ottoman ambao ulianzia nchi za kiarabu mpaka Ulaya na Asia.
wa hiyo mkuu unataka kutuaminisha kwamba Waparestina ama Wafilisti kwa jina la kale ndiyo wana wa Israel hasa wa ukoo wa Ibrahim?The so called Israel inakaliwa na walowezi wa kizungu wanaojiita waisraeli
Kipindi chote hicho waarabu waliokuwa wanakaa Israel walikua hawana haja ya nchi ndo maana waliridhia kutawaliwa, Ila kabla ya 1947 mwingireza akaona sio fair kuunda taifa la Israel pekee, basi wale waarabu wakapewa maeneo ya westbank na Gaza ili waunde nchi ya palestinaTurkey,Greece,Bulgaria,Egypt,Hungary,Macedonia,Romania,Jordan ndio dola la Ottoman, Siria na palestina walikua ni kabila Ndogo zilizounganishwa baadae miaka 1500 kwani walikua ni kabila zinahamahama
Wafilisti sio uzao wa ibrahimu,wa hiyo mkuu unataka kutuaminisha kwamba Waparestina ama Wafilisti kwa jina la kale ndiyo wana wa Israel hasa wa ukoo wa Ibrahim?
Hata mimi ndiyo navyofahamu kwamba Wafilisti ndiyo waparestina !! ambao pia wamechanganyikana na uzao wa Ibrahim kwa mke mdogo!! ( Ukoo ma kizazi cha Ismail)Wafilisti sio uzao wa ibrahimu,
Kwani taifa teule kumbe kuna maana tofauti na pale kwa akina Netanyahu palipoidhinisha ushoga, hebu nijuze hiyo maanaHujui maana ya taifa teule ndo tatizo lako kubwa kama hujui sema hueleweshwe
Mada sio ushoga Wala taifa takatifu jikite kwenye mada,Kwani taifa teule kumbe kuna maana tofauti na pale kwa akina Netanyahu palipoidhinisha ushoga, hebu nijuze hiyo maana