Mwezi Novemba 636 AD nchi ya Palestina iliyokuwa ikikaliwa na warumi chini ya makabila ya Byzantine ilikombolewa na khalifa wa pili wa waislamu baada ya kufariki Mtume s.a.w ambaye ni Omar Ibn Khattaab na ikarudi tena kuwa chini ya khalifa huyo na kuendelea baada yake chini ya tawala tofauti za kiislamu.Ntajie basi wafalme wa nchi ya palestina
Kwanza unajua neno palestina limetoka wapi, mtume na khalifa si wamezaliwa Saudi Arabia, Sasa Saudi Arabia na westbank wapi na wapi mbona unaleta vitu ambavyo sio relevant.Mwezo Novemba 636 AD nchi ya Palestina iliyokuwa ikikaliwa na warumi chini ya makabila ya Byzantine ilikombolewa na khalifa wa pili wa waislamu baada ya kufariki Mtume s.a.w ambaye ni Omar Ibn Khattaab na ikarudi tena kuwa chini ya khalifa huyo na kuendelea baada yake chini ya tawala tofauti za kiislamu.
Kwa maana hiyo tumeona kuwa Omar ibn Alkhattab ni miongoni mwa watawala wa nchi hiyo ukipenda kumwita mfalme au raisi si neno.
Acha uongo hakuna sehemu yeyote kwenye bible kumetwaja jina palestina hakunaVITA YA PARESTINA NA ISLAEL ILIANZIA HAPA, SOMA
1Samuel-17: Kiswahili Biblia - Agano la kale
Kiswahili Biblia na simulizi redio - 1 Samuel, chapter 17www.wordproject.org
Hueleweki unataka nini.Iliulizwa watawala wa Palestina kabla ya 1947. Ukiletewa majina na tarehe za mbali unahisi huna pa kutokea unabadili hoja.Kwanza unajua neno palestina limetoka wapi, mtume na khalifa si wamezaliwa Saudi Arabia, Sasa Saudi Arabia na westbank wapi na wapi mbona unaleta vitu ambavyo sio relevant.
Hao wakina khalifa ni sawa nawakina ottoman, na waingireza yaan Khalifa ni mkoloni
Wale wametokea Saudi Arabia kwa point yako hata warumi na ottoman ni watawala wa palestina, ndo yale yale ya yesse arafat kazaliwa na kukulia misri lakin kaja kuwa rais wa palestinaHueleweki unataka nini.Iliulizwa watawala wa Palestina kabla ya 1947. Ukiletewa majina na tarehe za mbali unahisi huna pa kutokea unabadili hoja.
[emoji23]upo sAhihiThe so called Israel inakaliwa na walowezi wa kizungu wanaojiita waisraeli
Watu wengi hawajui wapalentina ni wahamiaji, na hata msikiti wanaogombania umejengwa juu ya Hekalu la Solomon, ambalo lilipigwa wakati Israel wamevamiwa na dola la kirumi.Kipindi chote hicho waarabu waliokuwa wanakaa Israel walikua hawana haja ya nchi ndo maana waliridhia kutawaliwa, Ila kabla ya 1947 mwingireza akaona sio fair kuunda taifa la Israel pekee, basi wale waarabu wakapewa maeneo ya westbank na Gaza ili waunde nchi ya palestina
Wale ni waarabu kutoka nchi tofauti tofauti kama misri, Jordan, Lebanon, Syria n.k ndo maana yesse arafat moja ya Marais wapalestina wamezaliwa misri
Wewe ndio hujui. Kwani huyo Solomon na Ibrahim walikuwa dini gani.Watu wengi hawajui wapalentina ni wahamiaji, na hata msikiti wanaogombania umejengwa juu ya Hekalu la Solomon, ambalo lilipigwa wakati Israel wamevamiwa na dola la kirumi.
Ndio fitna za Uiengereza hizo.Hapo ndio naposema akili huna afu unashupaza shingo. Kasema mara ya MWISHO walitawaliwa na Ottoman empire, nikamwambia aache uongo, mara ya walitawaliwa na Uingereza, na ndio maana Uingereza ilishiriki (kama colonial master) kuigawa Palestina ili kuunda taifa la Israel.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Iliyeyuka ?Kabla ya 1914-1918 na kwenderea mpaka sasa 2021 Palestina ilikuwepo, na ikiitwa hivyo hivyo palestina.. ..Israel haikuwepo.. ..
π¦π·π¦π·π¦π·π₯π₯
Hao wote damu Moja, hawawezi kukubali Palestina na vibaraka wao weusi wawagombanishe. Damu nzito kuliko majiIsrael ilijua zamani kuwa bila kuzitumia nchi mbili zilizo jirani yake kama kinga dhidi ya uvamizi wa taifa la Palestina basi hawataweza kuendelea kuwapo pale kama taifa.Nguvu ya kijeshi wanayojilimbikizia kwa msaada wa taifa la Marekani wala hazina athari kubwa kuliko unafiki wa viongozi wa nchi mbili hizi zinazopakana nayo ambazo ni Jordan na Misri.
Ushahidi wa manufaa ya mikataba hiyo imeonekana katika vita vya mwaka huu 2021 baina ya Israel na Palestina.Kule Sudan na Misri siku mbili kabla ya kusitishwa vita tayari wananchi wa nchi hizo walikuwa wamepandwa na hasira wake kwa waume wakitaka wafunguliwe mpaka ili waingie Israel wakajitoe muhanga.
Hali ilikuwa kama hiyo nchini Jordan ambako mara kadhaa jeshi la nchi hiyo lilipambana na wananchi waliojaribu kuvuka daraja la mfalme Hussein linalozitenganisha Jordan na upande wa Palestina uliozingirwa na Israel wa Ukingo wa magharibi.
Mkataba wa Jordan na Israel ulitiwa saini mwaka 1994 wakati wa uhai wa mfalme Hussein na waziri mkuu Yitzhak Rabin ulioshuhudiwa na raisi Bill Clinton.
View attachment 1795342
Mkataba baina ya Misri na Israel ulitiwa saina mwaka 1979
View attachment 1795358
Egyptian president Anwar Sadat, US president Jimmy Carter, center, and Israeli prime minister Menachem Begin clasp hands on the north lawn of the White House as they sign the peace treaty between Egypt and Israel, March 26, 1979. (AP/Bob Daugherty)