Misri wanatujengea bwawa na umeme lakini mjini Cairo wachina wanawajengea wamisri jengo lefu kuliko yote Afrika

Misri wanatujengea bwawa na umeme lakini mjini Cairo wachina wanawajengea wamisri jengo lefu kuliko yote Afrika

MTV MBONGO

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2016
Posts
1,281
Reaction score
1,251
Wakuu nimestaajabishwa na hili: Wakati sisi kwetu tunajengewa Bwawa na Umeme wa Teknolojia ya juu, Wamisri wamempa tenda Mchina kuwajengea Jengo na Mnara utakaokuwa mrefu kuliko yote Afrika. Nilidhani kwa hili la Umeme, ingetosha kwa wao kujenga minara na majengo. Kweli Mungu hampi mtu kila kitu
 
Naona umeweka kabisa na jibu la swali lako kuwa Kweli Mungu hampi MTU kila kitu,sawa tumekuelewa....
 
Tatizo liko wapi kwani, mbona fundi Ujenzi huwa hajijegei Nyumba yake ila huwa na yeye anampa FUNDI mwingine tenda ya kumjengea nyumba
 
Mbona hata huyo mchina kuna kipindi alijengewa reli ya kisasa na mjerumani tens juzi tu hapa
 
Wakuu nimestaajabishwa na hili: Wakati sisi kwetu tunajengewa Bwawa na Umeme wa Teknolojia ya juu, Wamisri wamempa tenda Mchina kuwajengea Jengo na Mnara utakaokuwa mrefu kuliko yote Afrika. Nilidhani kwa hili la Umeme, ingetosha kwa wao kujenga minara na majengo. Kweli Mungu hampi mtu kila kitu
Hauko sawa mkuu..
 
Wakuu nimestaajabishwa na hili: Wakati sisi kwetu tunajengewa Bwawa na Umeme wa Teknolojia ya juu, Wamisri wamempa tenda Mchina kuwajengea Jengo na Mnara utakaokuwa mrefu kuliko yote Afrika. Nilidhani kwa hili la Umeme, ingetosha kwa wao kujenga minara na majengo. Kweli Mungu hampi mtu kila kitu
China mwenyewe na ujanja wake hawezi tengeneza ndege za abiria na ndio mteja mkubwa wa Boeing za USA
 
"Lefu" = refu
Wakuu nimestaajabishwa na hili: Wakati sisi kwetu tunajengewa Bwawa na Umeme wa Teknolojia ya juu, Wamisri wamempa tenda Mchina kuwajengea Jengo na Mnara utakaokuwa mrefu kuliko yote Afrika. Nilidhani kwa hili la Umeme, ingetosha kwa wao kujenga minara na majengo. Kweli Mungu hampi mtu kila kitu

Tatizo nini?
 
Back
Top Bottom