Misri yasema haitapinga uvamizi wa Rafah, kimsingi IDF watoe hakikisho raia hawatauawa

Misri yasema haitapinga uvamizi wa Rafah, kimsingi IDF watoe hakikisho raia hawatauawa

kwa kifupi, Rafah panapigwa muda usio mrefu....

Senior Egyptian officials have told their Israeli counterparts that they won’t oppose an operation in Rafah so long as it is carried out in such a way that Palestinian civilian casualties are avoided, Army Radio reports.

According to the report, the message from Cairo indicates that while Egypt may issue strong criticism of Israel should it launch an offensive in Gaza’s southernmost city, it won’t act in a way that prevents the IDF from operating.

On Friday, the Wall Street Journal reported that Egyptian officials warned that the decades-long peace treaty between Egypt and Israel could be suspended if IDF troops enter Rafah, or if any of Rafah’s refugees are forced southward into Egypt’s Sinai Peninsula.
Kiaina Misri wameshakubali mzika wa Isarel,sasa wanacheza,kiakili. Misrimwanajua sana hakuna mapigano ya mjini ambayo raia hawatakufa au kujeruhiwa, hapo rafa kuna watu zaidi ya milioni kwenye eneo dogo sana , huwezi sema ihakikishwe raia wasife ! Huo ni uongo wa waarabu .
 
Hiyo taarifa inaonekana ni fake ni ya kujifariji wengine mnasema Israel inajetekenya.
Taarifa sahihi ni hiyo ya Wall street ambayo imesharudiwa mara kadhaa na wasemaji wa Misri.
Tusubiri wakati ufike ndo ukweli na usahihi au kuwa Taarifa ni Fake itaeleweka.
IDF haangalii makunyazi.
 
Kiaina Misri wameshakubali mzika wa Isarel,sasa wanacheza,kiakili. Misrimwanajua sana hakuna mapigano ya mjini ambayo raia hawatakufa au kujeruhiwa, hapo rafa kuna watu zaidi ya milioni kwenye eneo dogo sana , huwezi sema ihakikishwe raia wasife ! Huo ni uongo wa waarabu .
Nakazia: Akili za kupewa ongeza na za kwako.
 
kwa kifupi, Rafah panapigwa muda usio mrefu....

Senior Egyptian officials have told their Israeli counterparts that they won’t oppose an operation in Rafah so long as it is carried out in such a way that Palestinian civilian casualties are avoided, Army Radio reports.

According to the report, the message from Cairo indicates that while Egypt may issue strong criticism of Israel should it launch an offensive in Gaza’s southernmost city, it won’t act in a way that prevents the IDF from operating.

On Friday, the Wall Street Journal reported that Egyptian officials warned that the decades-long peace treaty between Egypt and Israel could be suspended if IDF troops enter Rafah, or if any of Rafah’s refugees are forced southward into Egypt’s Sinai Peninsula.
Wana mgambo hawawezi kuisha wataua wanawake na watoto
 
leo tarehe 13/2 wamedondoka watatu , wawili wako mahututi, katili nae anakufa

Mazombi yenu 30,000 yamewahishwa kwa akba akba, mimi sikutegemea mpaka sasa kuna mateka ako hai....
 
IDF piga mbwaaaaaaa
Kifupi hakuna Nchi yeyote ya kiarabu ya kiislamu Nchi zote zinazopakana na Israel wanaowahitaji Hamas ikiwemo Misri furaha Yao ni kuona Hamas wanafutiliwa mbali sababu ni tishio la amani Hata kwenye Nchi zao
 
Back
Top Bottom