miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
okey hope unaongeza bure usije nitembelea usiku..Ntakuongezea palipopanda[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Wameshafanya yao ila kama kibubu kimepona asavaliokey hope unaongeza bure usije nitembelea usiku..
mtani halafu leo nimeota mdingi wangu kavuta halafu mi nimeamka naumwa vibaya mno .. watakuwa walikuja ?
kibubu kipo salamaWameshafanya yao ila kama kibubu kimepona asavali
Afazali sana sasa kuhusu ongezeko la vat kwenye zulu usijali linazungumzikakibubu kipo salama
Usiseme kwa sauti mtanimi sitaki risiti kabisa
sawa mtani nafutaUsiseme kwa sauti mtani
Stunter habari yako bananitamudu nahisi, wewe nipende tu hata uongo mie nifurahi loooh
Vale Vale acha hizo bhana loooh.Stunter habari yako bana
Aii jamani weweeeAmekutuma? Msifie huko huko pm
Eeh kuna ubaya kumsalimia shem wangu kwani?Vale Vale acha hizo bhana loooh.
Mdada nini tenaaa mbona unashangaa?Aii jamani weweee
kumsalimia bila kumweleza umbea ni sawa ila kwa namna hiii, ote maeEeh kuna ubaya kumsalimia shem wangu kwani?
😉weka picha tukuone mamy
Si huo mkwara wako jamani. Eti akamsifie pm lolMdada nini tenaaa mbona unashangaa?
Mbona kama unajistukia lakini... Kuna usalama kweli?kumsalimia bila kumweleza umbea ni sawa ila kwa namna hiii, ote mae
Eeh sasa sisi uzuri wa miss chaga unatuhusu nini? nani kamwambia kuna mashindano ya uzuri huku?Si huo mkwara wako jamani. Eti akamsifie pm lol
upo mkubwa kabisa na ana habari zote.Mbona kama unajistukia lakini... Kuna usalama kweli?
Ha haa we nimekustukia... Unaogopa utashawishika kuzama pm[emoji12]Eeh sasa sisi uzuri wa miss chaga unatuhusu nini? nani kamwambia kuna mashindano ya uzuri huku?
Kama amempenda akamchukue wakanywe wote chai sio kuja kumsifiasifia hapa na wengine hatutaki kuingia ingia pm za watu
Sikuamini wewe hebu muiteupo mkubwa kabisa na ana habari zote.