Miss chaga

Miss chaga

Si huo mkwara wako jamani. Eti akamsifie pm lol
Eeh sasa sisi uzuri wa miss chaga unatuhusu nini? nani kamwambia kuna mashindano ya uzuri huku?

Kama amempenda akamchukue wakanywe wote chai sio kuja kumsifiasifia hapa na wengine hatutaki kuingia ingia pm za watu
 
Eeh sasa sisi uzuri wa miss chaga unatuhusu nini? nani kamwambia kuna mashindano ya uzuri huku?

Kama amempenda akamchukue wakanywe wote chai sio kuja kumsifiasifia hapa na wengine hatutaki kuingia ingia pm za watu
Ha haa we nimekustukia... Unaogopa utashawishika kuzama pm[emoji12]
 
Back
Top Bottom