Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
ila siku hizi hainaga ushemeji buana! 🙂unajua nimecheka sana mwenyewe.
Huyo ndie miss chagga jamani
Huyo mdada anaonekana anapiga sana misamba
miss chagga enzi izoooo kabla hajaja DarHuyo mdada anaonekana anapiga sana misamba
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Heshima kwenu wakubwa
Samahani kama nitamkwaza MTU hapa
Huyu Dada me namukubali kwa urembo wake na kwa michango yake na ushauri anaotoa katika jukwaa hili. Hana shobo na mtu
Popote ulipo wifi yangu I love youuuu
@Nb/ kama uko na strees pita kulee
Weka pichawe umeongea point
Weka picha