Miss chaga

Miss chaga

Heshima kwenu wakubwa
Samahani kama nitamkwaza MTU hapa

Huyu Dada me namukubali kwa urembo wake na kwa michango yake na ushauri anaotoa katika jukwaa hili. Hana shobo na mtu
Popote ulipo wifi yangu I love youuuu

@Nb/ kama uko na strees pita kulee
Nasema humjui miss chagga ni bandidu wa ukweli!! ingia 18 zake atang'oa hadi mataruma acha reli huyo???huuuuwiiii nilielekezwa kuwa huyo ndo miss chaga nilibaki kinywa wazi ila kazuri ila ubaya wake ni gaidi wa kutosha!!
 
Aisee! Mambo vipi miss chagga? Sijui nami niseme neno?
Heshima kwenu wakubwa
Samahani kama nitamkwaza MTU hapa

Huyu Dada me namukubali kwa urembo wake na kwa michango yake na ushauri anaotoa katika jukwaa hili. Hana shobo na mtu
Popote ulipo wifi yangu I love youuuu

@Nb/ kama uko na strees pita kulee
 
Back
Top Bottom