Inabidi ajibu swali kwa swali;
Ukikutana naye huko mwambie shangazi yako anakuiita.
Salamu sana wana CC wote.
Leo nimekuja na ujumbe maalum kwa shangazi yangu miss chagga;
Nasikia uko kwenye pilikapilika za kufunga pingu za maisha;
Je, blanketi la shangazi ni nani kachukua?
du jamaa kapata chombo aisee
Mimi nataka panga la kaka
atatokea tu..vuta subira