miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
mama yangu..! mwe!!!
bado kama wakinizidi akili nafanya hivyo
Dear huyu ni dada yangu,
baada ya kutoka Denmark masomoni aliamua kwenda mkoani na kuanzisha mradi wake.
Nataka nikamchukue weekend hii
Dear huyu ni dada yangu,
baada ya kutoka Denmark masomoni aliamua kwenda mkoani na kuanzisha mradi wake.
Nataka nikamchukue weekend hii
asante..mkeo sasa kanifaham rasmi
happy me
jaman wifi usijali nakupenda.
Mamndenyi asante kwa kunitabiria mema,.. mimi nipo sana jukwaani labda tunapishana muda tu.. sina hata wa kunifunga nae ndoa kwa sasa nasubiria niambiwe lakini naona kimya mpaka sasa... ila kwa kuwa leo mmenitabiria mema loh mwaka 2016 hii ndoto ndo nitatimiza .... Mungu nipe mume atakeyenipenda na kunijali ana awe anajua kutafuta hela amina...
CC:mwallu,Honey Faith Munkari
mshana jr ,Dublin,Mwanyasi usijali mda ukifika panga lako lipo, janeth1,Mtoto halali na hela, charminglady.
wakati ukifika member wa jf hasa kule kamati kuu mtajua tu sitafanya siri,
Utupe mrejesho mamiiMamndenyi asante kwa kunitabiria mema,.. mimi nipo sana jukwaani labda tunapishana muda tu.. sina hata wa kunifunga nae ndoa kwa sasa nasubiria niambiwe lakini naona kimya mpaka sasa... ila kwa kuwa leo mmenitabiria mema loh mwaka 2016 hii ndoto ndo nitatimiza .... Mungu nipe mume atakeyenipenda na kunijali ana awe anajua kutafuta hela amina...
CC:mwallu,Honey Faith Munkari
mshana jr ,Dublin,Mwanyasi usijali mda ukifika panga lako lipo, janeth1,Mtoto halali na hela, charminglady.
wakati ukifika member wa jf hasa kule kamati kuu mtajua tu sitafanya siri,
Yes aunt yangu,Mamndenyi asante kwa kunitabiria mema,.. mimi nipo sana jukwaani labda tunapishana muda tu.. sina hata wa kunifunga nae ndoa kwa sasa nasubiria niambiwe lakini naona kimya mpaka sasa... ila kwa kuwa leo mmenitabiria mema loh mwaka 2016 hii ndoto ndo nitatimiza .... Mungu nipe mume atakeyenipenda na kunijali ana awe anajua kutafuta hela amina...
CC:mwallu,Honey Faith Munkari
mshana jr ,Dublin,Mwanyasi usijali mda ukifika panga lako lipo, janeth1,Mtoto halali na hela, charminglady.
wakati ukifika member wa jf hasa kule kamati kuu mtajua tu sitafanya siri,