Miss Chagga, Hii ni kitchen party yako

Miss Chagga, Hii ni kitchen party yako

Dear huyu ni dada yangu,
baada ya kutoka Denmark masomoni aliamua kwenda mkoani na kuanzisha mradi wake.
Nataka nikamchukue weekend hii

mnafanana sana dear kweli nyie ndugu, kamchukue mme.
 
asante..mkeo sasa kanifaham rasmi
happy me
Dear huyu ni dada yangu,
baada ya kutoka Denmark masomoni aliamua kwenda mkoani na kuanzisha mradi wake.
Nataka nikamchukue weekend hii
 
Mamndenyi asante kwa kunitabiria mema,.. mimi nipo sana jukwaani labda tunapishana muda tu.. sina hata wa kunifunga nae ndoa kwa sasa nasubiria niambiwe lakini naona kimya mpaka sasa... ila kwa kuwa leo mmenitabiria mema loh mwaka 2016 hii ndoto ndo nitatimiza .... Mungu nipe mume atakeyenipenda na kunijali ana awe anajua kutafuta hela amina...
CC:mwallu,Honey Faith Munkari
mshana jr ,Dublin,Mwanyasi usijali mda ukifika panga lako lipo, janeth1,Mtoto halali na hela, charminglady.
wakati ukifika member wa jf hasa kule kamati kuu mtajua tu sitafanya siri,

Mm ndie nilieoteshwa kwako kua na subira nipo njiani naja ##Miss chagga


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mamndenyi asante kwa kunitabiria mema,.. mimi nipo sana jukwaani labda tunapishana muda tu.. sina hata wa kunifunga nae ndoa kwa sasa nasubiria niambiwe lakini naona kimya mpaka sasa... ila kwa kuwa leo mmenitabiria mema loh mwaka 2016 hii ndoto ndo nitatimiza .... Mungu nipe mume atakeyenipenda na kunijali ana awe anajua kutafuta hela amina...
CC:mwallu,Honey Faith Munkari
mshana jr ,Dublin,Mwanyasi usijali mda ukifika panga lako lipo, janeth1,Mtoto halali na hela, charminglady.
wakati ukifika member wa jf hasa kule kamati kuu mtajua tu sitafanya siri,
Utupe mrejesho mamii
 
Mamndenyi asante kwa kunitabiria mema,.. mimi nipo sana jukwaani labda tunapishana muda tu.. sina hata wa kunifunga nae ndoa kwa sasa nasubiria niambiwe lakini naona kimya mpaka sasa... ila kwa kuwa leo mmenitabiria mema loh mwaka 2016 hii ndoto ndo nitatimiza .... Mungu nipe mume atakeyenipenda na kunijali ana awe anajua kutafuta hela amina...
CC:mwallu,Honey Faith Munkari
mshana jr ,Dublin,Mwanyasi usijali mda ukifika panga lako lipo, janeth1,Mtoto halali na hela, charminglady.
wakati ukifika member wa jf hasa kule kamati kuu mtajua tu sitafanya siri,
Yes aunt yangu,

Pole kwa yote yaliyopita.

Hii sendoff ya sasa I hope ni yako, hebu sema neno
 
Back
Top Bottom