Kwa heshima kubwa!
Ninaomba shindano la kumsaka miss Jamiiforums lirejee katika mtiririko wake!Sheria ziwekwe wazi, mambo yawe wazi! Wadhamini wawe wazi na mwisho wa siku washindi wapewe zawadi zao stahiki.
Vigezo na Masharti vikizingatiwa naamini hakuna kitakachoharibika na kama ni utaratibu wa wadhamini, wasubmit sehemu ya udhamini wao kwa Moderator kabla ya shindano kuanza utaratibu wa Poll uweke kwa wale watakaopata mapendekezo mengi zaidi.
Hili shindano lina ladha yake! Let bring it back.
CC:
Arushaone,
Waliowahi kushiriki wasishiriki tena!
Hawa hapa chini napendekeza washiriki, kwa sababu hawajawahi kushiriki.
CC;
Khantwe,
Honey Faith,
atoto,
'Valentina' miss chagga,
cute b,
Kasinde,
janeth1....
Nawategemea kwenye huu mchakato.
Na wadada wengine wote!