Miss JamiiForums

Miss JamiiForums

Wadinka wanachanjwaga machale yao ambayo yanawaribu bottom the girl can tempt even a devil himself.
 
u made my day mkuu. Thanks a lot :becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:
mtoto mdogo ana mwili kama fisadi lol
 
mmmmh aje nimpe mkorogo...mmmmh lakini nadhani utadunda tu sioni dalili ya kukoleo madiko diko huyu
anapendeza ila sana ila lol ...nimemkumbuka lawino na clementaina
mix with yours
 
ndivyo mabinti wa kiafrika tunatakiwa kuwa sio kuiga wazungu kwa mikorogo:A S 8: kitu mwake mwake
 
Jamani huyo ni Miss South Sudan 2009, Betty Garang.
 
miye moyo umeniruka kabisa.. hadi bi mkubwa kakimbia kuja kutaka kujua nakodolea nini.. mweh!!
 
zabibu nyeusi ndio zina juice tamu.........nyeupe ni chachu
 
Kule kwetu huyu demu hajafikia kiwango cha "NDito" kwa unaturale kama huyu mnabisha?

african-girls.jpg
 
Back
Top Bottom