FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
JF niliangalia miss kenya na kwa aliyebahatika kuiona lol wenzetu kidogo naona wame advance na mabinti wanaconfidance sijawahi kuona
watoto wanajieleza kama hawana akili nzuri mengineyo yalikuwa makosa madogo madogo
Mbona warembo wetu wa Kitanzania upeo wa kujieleza ni mgumu sana???
watoto wanajieleza kama hawana akili nzuri mengineyo yalikuwa makosa madogo madogo
Mbona warembo wetu wa Kitanzania upeo wa kujieleza ni mgumu sana???