FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
JF niliangalia miss kenya na kwa aliyebahatika kuiona lol wenzetu kidogo naona wame advance na mabinti wanaconfidance sijawahi kuona
watoto wanajieleza kama hawana akili nzuri mengineyo yalikuwa makosa madogo madogo
Mbona warembo wetu wa Kitanzania upeo wa kujieleza ni mgumu sana???
Na mi nawaombea wasiwe na uwezo wa kujieleza zaidi ya walio nao hivi sasa, manake tutashindwa kujiexpress nao kirahisi. Na bado hatujapata products za shule za Lowassa (Sekondari za kata), hapo ndipo tutazidi pata burdani nzuri zaidi.
Nilidhani kwako ingekuwa rahisi kulijua hili, hiyo sample ya hao unao waita wa tz hai wakilishi vizuri warembo wa ki tz, kutokana na maskendo na tamaduni zetu ambazo ziko strictly zadi ukilinganisha na kenya warembo wenye akili huwa hawashiriki miss Tanzania na hata wakishiriki hutolewa katika hatua za mwanzo kwani huwa ni wagumu kutoa rushwa za ngono na pia huwa wanamisimamo ambayo akina lundenga wanaiogopa, wanahoji zawadi, maisha ya kambi na hata huduma hivyo akina lundenga huamua kuwapiga chini na kuwaweka mambumbumbu wa yes uncle hasim kwenye kila kitu.
Kuna ukweli wowote kama TZ kuna rushwa ya ngono?? mmh
haaaa ahaaaa ahhha akili yako unaijuwa mwenyewe🙂
Kuna ukweli wowote kama TZ kuna rushwa ya ngono?? mmh
Kuna ukweli wowote kama TZ kuna rushwa ya ngono?? mmh
Hakuna cha kuuliza zaidi. Answer is YES!
Kuna dada aliwahi kuwa miss Tanzania anaitwa Faraja Kota, yeye ameandika kitabu nadhani kinaitwa Faraja ya Usichana(sina uhakika) ameeleza hayo kutokana na experience yake katika mashindano haya, nadhani unahitaji kukisoma pia kama una binti mdogo mnunulie kopi.
KWA STYLE HII SITARUHUSU UZAO WANGU UENDE HUKO KUSHINDANA -THE REASON BEHIND
Inaumaaaaaa kwa nini watuharibie watoto wetu??. na watoto nao wanakubali bila hiana kisa wanataka gari la 50m mm
huna rafiki aliyewahi kuutafuta umiss umuulize yaliyomsibu?? Hupigi nao story? Jaribu kugombea utupe evidence
Kuna ukweli wowote kama TZ kuna rushwa ya ngono?? mmh
JF niliangalia miss kenya na kwa aliyebahatika kuiona lol wenzetu kidogo naona wame advance na mabinti wanaconfidance sijawahi kuona
watoto wanajieleza kama hawana akili nzuri mengineyo yalikuwa makosa madogo madogo
Mbona warembo wetu wa Kitanzania upeo wa kujieleza ni mgumu sana???