Miss Mexico, Venessa Ponce atwaa taji la Miss World 2018. Miss Uganda Atwaa Miss World Africa

Miss Mexico, Venessa Ponce atwaa taji la Miss World 2018. Miss Uganda Atwaa Miss World Africa

Ili utoboze huko inabidi project yako kweli ibadilishe watu na hapo nchi ka India hutupiga bao mana project zao hufanyika kabisa kwa watu
Ni kweli dearest... Hata ya Bridgitte nakumbuka ilihusiana na kujenga centre ya kuwanusuru maalbino na alikuwa ashaanza yaani sio mchezo

Miss Kenya idah wa 2015 nadhani project yake ilishinda maana ilihusiana na kuwaokoa watu na janga LA minyoo huko rural Kenya
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]maskini daah kumbe huwa unanifatilia sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]pole . then huko IG natumia ID gani sasa maana hata sijui njia yake,nielekeze

Nawachana ukweli mnapanic poleni sana. Am here(JF)to stay
Punic button of whom one... Just enjoy your own stupidity my dear and then get back to yo slum house... Yo good in IG not in JF tena nenda kamdefend that old cougar and whore from UG coz that's what yo best at doing ila mambo ya analysis kaa pembeni..empty headed gal who likes attention..nshakupa already so take a pill and chill
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]maskini daah kumbe huwa unanifatilia sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]pole . then huko IG natumia ID gani sasa maana hata sijui njia yake,nielekeze

Nawachana ukweli mnapanic poleni sana. Am here(JF)to stay
Hahaaaaa maskini go and get a life ..sio kuwa nakufuatilia ila unaforce kujulikana maana katika kila thread ni lazma ujioneshe kuwa unajua kuliko wengine na matusi juu... JF ni kama street tu yaani yule gal mmpenda attention mtamjua tu na kuna wale wapo na issue zao disminders kama mzigua hawana shobo ila tunawajua tu kwa traits zao..

My dear huna umuhimu kama unaojipa and second hakuna anaekufuatilia humu zaidi ya wewe kujipa credit ziso zako maana yo still empty headed just kuwa humble ujifunze..
3rd jifunze kuheshimu watu hata kama umejificha nyuma ya keyboard

Kingine learn to have a class as a lady sawa and you can't learn it from retired whores kama Zari..jifunze kuwafollow hata akina modesta mahiga, carol Ndosi, maria tseshai, mwamvita makamba, eve rugemalira ,maznati hata jide na vanesaa ukitaka..

Hizi league za zari na mobetto zieke kuwa za kufurahisha tu sio main part
 
Gazeti lote hili maskini my silent follower upo vizuri. Ikifika 12 dec wish me lucky kuvunja mwaka mwingine ndani ya JF salama. Love u all my followers!!!Life is good.

#Thats me Numby babe#
Hahaaaaa maskini go and get a life ..sio kuwa nakufuatilia ila unaforce kujulikana maana katika kila thread ni lazma ujioneshe kuwa unajua kuliko wengine na matusi juu... JF ni kama street tu yaani yule gal mmpenda attention mtamjua tu na kuna wale wapo na issue zao disminders kama mzigua hawana shobo ila tunawajua tu kwa traits zao..

My dear huna umuhimu kama unaojipa and second hakuna anaekufuatilia humu zaidi ya wewe kujipa credit ziso zako maana yo still empty headed just kuwa humble ujifunze..
3rd jifunze kuheshimu watu hata kama umejificha nyuma ya keyboard

Kingine learn to have a class as a lady sawa and you can't learn it from retired whores kama Zari..jifunze kuwafollow hata akina modesta mahiga, carol Ndosi, maria tseshai, mwamvita makamba, eve rugemalira ,maznati hata jide na vanesaa ukitaka..

Hizi league za zari na mobetto zieke kuwa za kufurahisha tu sio main part
 
[emoji1][emoji1][emoji1] mbona hii thread jana ilikuwa nzuri tu. Tusitukanane kisa miss Venezuela...
 
Gazeti lote hili maskini my silent follower upo vizuri. Ikifika 12 dec wish me lucky kuvunja mwaka mwingine ndani ya JF salama. Love u all my followers!!!Life is good.

#Thats me Numby babe#
Hongera kwa kuongeza mwaka in JF and more digits in your bank account coz of dat sawa dearest...
Hope umeelewa kila nilichoandika and hope you won't post a forest of words but a desert of points again..
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] thank u and welcome again. Kila ukifeel kutaka kupanic ntafute nitakupa dozi matata. Am numby baby le panic button.
Hongera kwa kuongeza mwaka in JF and more digits in your bank account coz of dat sawa dearest...
Hope umeelewa kila nilichoandika and hope you won't post a forest of words but a desert of points again..
 
Shwain zake miss Uganda kasababisha yote haya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1] mbona hii thread jana ilikuwa nzuri tu. Tusitukanane kisa miss Venezuela...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] thank u and welcome again. Kila ukifeel kutaka kupanic ntafute nitakupa dozi matata. Am numby baby le panic button.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee
 
Huyu dada mzuri sana, mrefu ana confidence...in short ana vigezo vyote vya u miss. Ilaumu camera maana naona mpiga picha alishindwa kumbalance ktk picha...
jamani kamera hiyo kwake tu?? labda Nina matatizo ya macho... urefu sawa Ila sio mzuri...! ina wezekana kamera za huko China zina shida mpaka miss wa dunia ana onekana bibi hahahahahaaa....
 
Mi haya mambo ya mobetto zari zimeshinda zinashusha iq sasa watu wagombania mwanaume kiruuu
Hahaaaaa maskini go and get a life ..sio kuwa nakufuatilia ila unaforce kujulikana maana katika kila thread ni lazma ujioneshe kuwa unajua kuliko wengine na matusi juu... JF ni kama street tu yaani yule gal mmpenda attention mtamjua tu na kuna wale wapo na issue zao disminders kama mzigua hawana shobo ila tunawajua tu kwa traits zao..

My dear huna umuhimu kama unaojipa and second hakuna anaekufuatilia humu zaidi ya wewe kujipa credit ziso zako maana yo still empty headed just kuwa humble ujifunze..
3rd jifunze kuheshimu watu hata kama umejificha nyuma ya keyboard

Kingine learn to have a class as a lady sawa and you can't learn it from retired whores kama Zari..jifunze kuwafollow hata akina modesta mahiga, carol Ndosi, maria tseshai, mwamvita makamba, eve rugemalira ,maznati hata jide na vanesaa ukitaka..

Hizi league za zari na mobetto zieke kuwa za kufurahisha tu sio main part
 
Mimi mashindano haya sina ishu nayo kabisa. Siwezi poteza muda wangu kuangilia mifupa.

Watuekee miss BANTU lakini wazungu hawatoitaka kabisa, Mana AFRICA itachafua
 
Ukifatilia miss World ni Kama mchezo wa kupokezana vijiti, sio Tanzania tu kuna nchi kibao ambao washiriki wake hawafanyi vizuri kila wanaposhiriki na sio kwa sababu ya washiriki hawana vigezo vya kutosha kwa sababu ni mchezo wa kupokezana, mfano Kenya waliibuka kidedea mwaka Jana unaweza ikawachukua takribani miaka kadhaa kuibuka tena.

Nigeria tokea iliposhinda miss world 2001 ni miss yupi wa Nigeria alishashinda tena??

Tanzania tokea Nancy sumari ni lini ilishika hiyo nafasi tena??

Kikubwa Yale mashindano ni kuwafungulia fursa mabinti wale wanaoshiriki wawe watu Fulani kwenye jamii zao wanazotoka. Watumie fursa waliyoipata kujitegema na kutimiza ndoto zao za kimaisha.
hii kitu si kweli mbona kama Miss world wanafululizaga india, kwann iwe kijiti kwetu tuu??
tukubali tuu tunashindwa kuandaa ma miss ambao wapo smart kichwani, kama ulisoma motto sijui ambishion ya miss wetu unaona kabisa haikua na direct impact katika jamii ukilinganisha na Miss uganda.

tanzania tuache kuchagua ma miss kwa uzuri tuu bali tuangalie kichwani maana wenyewe wanasema beauty with purpose!

note: simaanishi miss wetu hayuko vizuri hapana sema maandalizi yake yalimfanya asiwe comfortable maana alikua anavaa mironya tuu.
 
hii kitu si kweli mbona kama Miss world wanafululizaga india, kwann iwe kijiti kwetu tuu??
tukubali tuu tunashindwa kuandaa ma miss ambao wapo smart kichwani, kama ulisoma motto sijui ambishion ya miss wetu unaona kabisa haikua na direct impact katika jamii ukilinganisha na Miss uganda.

tanzania tuache kuchagua ma miss kwa uzuri tuu bali tuangalie kichwani maana wenyewe wanasema beauty with purpose!

note: simaanishi miss wetu hayuko vizuri hapana sema maandalizi yake yalimfanya asiwe comfortable maana alikua anavaa mironya tuu.
[emoji1][emoji1] yaani hapo walichagua kichwa...in short wengine walikuwa wanapumlia mashine...hahaha.
 
Nasikia umiss hawaangalii sura tu. Wanaangalia mpaka akili na uwezo wa kujieleza, Tanzania itakua tunafeli kwenye ukosefu akili maana wazuri tuliwahi kua nao.
Wazuri hawanaga akili kichwani...isipokuwa wachache...
 
Kumtumia Nancy napo hufui dafu mbona vigezo vyajulikana Kuna kupitana vigezo hafu wao humuandaa mshindi kabisa. Huonagi India mara wazungu kwa sana. Nancy hawezi fanya lolote wote Wana vigezo juhudi zako kushinda challenge project ya kijamii plus bahati, unaweza shinda. Mi nilishayafatilia mno hayo ma shindano walah
Weka vigezo hapa tuvielewe....
 
Back
Top Bottom