cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Ili utoboze huko inabidi project yako kweli ibadilishe watu na hapo nchi ka India hutupiga bao mana project zao hufanyika kabisa kwa watu
Ni kweli dearest... Hata ya Bridgitte nakumbuka ilihusiana na kujenga centre ya kuwanusuru maalbino na alikuwa ashaanza yaani sio mchezo
Miss Kenya idah wa 2015 nadhani project yake ilishinda maana ilihusiana na kuwaokoa watu na janga LA minyoo huko rural Kenya