Miss Natafuta like you've never seen her before

Miss Natafuta like you've never seen her before

Kuna slut anamwinda X wako kila kona!![emoji30] [emoji30] [emoji30].......i hate her but am regreting i don't know how to block her!! [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Mimba changa zilivyo na vurugu, you have a long way to go mke mwenza, vumilia tu, ndio ukubwa huo.
 
Mimba changa zilivyo na vurugu, you have a long way to go mke mwenza, vumilia tu, ndio ukubwa huo.
Hivi inawezekanaje from nowhere unakuja na kuquote mazungumzo yangu ninayofanya na mtu mwingine??? Uko sawa kisaikologia lakini?una akili timamu kweli?........ Naomba kiherehere chako cha kuquote mazungumzo yangu ninayofanya hapa JF na watu wengine uache please kwa sababu sikujui na wewe hunijui!!
 
Mdada ana tako jepesi lakini mwili mzito!!! Haendi na biti kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23] angetafuta wimbo wa mondi ndo ungemfaa.
 
Hivi inawezekanaje from nowhere unakuja na kuquote mazungumzo yangu ninayofanya na mtu mwingine??? Uko sawa lakini?una akili timamu kweli?........ Naomba kiherehere cha kuquote mazungumzo yangu ninayofanya hapa JF na watu wengine uache please kwa sababu sikujui na wewe hunijui!!
Mkuu behaviourist kwemah! Kuwa mpole bwana usipende minyukano minyukano na watoto wa kike...

Ivuga anakuita huko jukwaa la wakubwa.
 
Hivi inawezekanaje from nowhere unakuja na kuquote mazungumzo yangu ninayofanya na mtu mwingine??? Uko sawa lakini?una akili timamu kweli?........ Naomba kiherehere cha kuquote mazungumzo yangu ninayofanya hapa JF na watu wengine uache please kwa sababu sikujui na wewe hunijui!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] VP tena wajameniiii
Maugomvi thiooo
 
Hivi inawezekanaje from nowhere unakuja na kuquote mazungumzo yangu ninayofanya na mtu mwingine??? Uko sawa lakini?una akili timamu kweli?........ Naomba kiherehere cha kuquote mazungumzo yangu ninayofanya hapa JF na watu wengine uache please kwa sababu sikujui na wewe hunijui!!
Mke mwenza kwani asubuhi now huko uliko? Maana morning sickness huja na majanga yake.
 
Back
Top Bottom