Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
mimi ni kibonge flani japo sio sana nina kg 93.ile avatar ilikuwa ni mimi mkuu so niliitoa kwa sababu maalumuMiss Natafuta hivi we ni kibonge?
Pia unaweza kunisaidia avatar ya mwanzo kabisa kabla ya kubadili mfumo na kuanza kupost vibonge tu.
asee! mkuu naona miss kakaa kwenye kumi na nane zako,Kwa nini muda mwingine unasema huna hisia na sisi wanaume nini shida??
acha waulize tu .wewe ndo ulierudia swaliFata taratibu miss usijibu audience sasa ndo maana huoni maswali
muosha rungu
Am back.Hunter nakuona mzee wa fursa
Kama utapata nafasi ya kuwa na mume hapo baadae, tutajie sifa zake..mbona unarudia maswali mkuu?
Nakujua sana hunter wapi Carba nisaidie kumtagAm back.
Vampire who hunts vampires.
Usiwaze mkuu ni maswali tu ya kawaidaasee! mkuu naona miss kakaa kwenye kumi na nane zako,
unatuma makombola too mapema
yeyote Mwenyenzi Mungu atakaenipa ,ila namuomba mungu at least,awe mwanaume I mean awe anajua majukumu yake,majukumu ya mwanaume ni kutunza familia kwa kusaidiana na mkewe .pia anipende kwa dhati.mengine tutabadilishana .kila mtu ana mapungufu yakeKama utapata nafasi ya kuwa na mume hapo baadae, tutajie sifa zake..
Vipi ulifanikiwa kupunguza uzito bibie??mimi ni kibonge flani japo sio sana nina kg 93.ile avatar ilikuwa ni mimi mkuu so niliitoa kwa sababu maalumu
Nimeikumbuka sana ile kwa shughuli zangu maalumu.mimi ni kibonge flani japo sio sana nina kg 93.ile avatar ilikuwa ni mimi mkuu so niliitoa kwa sababu maalumu
Hapo sawa, umesema kila mtu ana mapungufu yake nakubaliana na wewe je , changamoto za ndoa zikitokea utazijuaje may be mumeo kachepuka au kasahau kulisha familia??yeyote Mwenyenzi Mungu atakaenipa ,ila namuomba mungu at least,awe mwanaume I mean awe anajua majukumu yake,majukumu ya mwanaume ni kutunza familia kwa kusaidiana na mkewe .pia anipende kwa dhati.mengine tutabadilishana .kila mtu ana mapungufu yake
uzito wangu haupungui japo hauongezeki. mimi napenda sana kula vitu vitamu.japo sili sana ila siwezi kukaa masaa matatu bila kutafuna kitu.issue ingine nina free mind and soul kwa hiyo nanenepa tu mwili au roho vimeridhikaVipi ulifanikiwa kupunguza uzito bibie??
nafight sana kupunguza mwili wangu mkuu.sijivunii kuwa mnene ila namshukuru mungu sana kwa kuniumba hivi nina papuchi ya kutosha siwezi kufa njaa mjiniNimeikumbuka sana ile kwa shughuli zangu maalumu.
Una mpango wa kupunguza hizo kilo?
Vitu gani unajivunia kuwa njinsi ulivyo?
anhaa sawa, ulishawahi kupata Presha au kiribatumbo kwa ajili ya uzito wako??uzito wangu haupungui japo hauongezeki. mimi napenda sana kula vitu vitamu.japo sili sana ila siwezi kukaa masaa matatu bila kutafuna kitu.issue ingine nina free mind and soul kwa hiyo nanenepa tu mwili au roho vimeridhika
mume kuchepuka au kutolisha familia hizo sio changamoto mkuu hayo ni makosa.changamoto ni hali ambayo imetokea bila kutarajia kwenu wawili,like ugonjwa,maafa kwenye biashara,kufukuzwa kazi na situation nyingine kama hizo.ila mtu kutoka nje ya familia na kuanza kukitembeza kitaa ukaacha kujali familia hilo ni kosa na linastahili adhabu kaliHapo sawa, umesema kila mtu ana mapungufu yake nakubaliana na wewe je , changamoto za ndoa zikitokea utazijuaje may be mumeo kachepuka au kasahau kulisha familia??