zsm
Member
- Apr 2, 2017
- 55
- 48
Wapendwa habari zenu,
Naomba nisiwachoshe naomba nimweleze Miss Natafuta kuwa tangu nimeijua JF na baada ya miaka kadhaaa huwa naona huyu dada anatafuta mwanaume wa kuolewa nae. Kwa muda wote huo nimekuwa najiulize kwanini huyu dada ahangaike hivyo.
Leo natamka wazi kwa moyo mkunjufu kwamba Miss Natafuta popote ulipo nataka nikuoe naomba unicheki uniulize swali lolote kuhusu mimi.
Karibu sana mama
Naomba nisiwachoshe naomba nimweleze Miss Natafuta kuwa tangu nimeijua JF na baada ya miaka kadhaaa huwa naona huyu dada anatafuta mwanaume wa kuolewa nae. Kwa muda wote huo nimekuwa najiulize kwanini huyu dada ahangaike hivyo.
Leo natamka wazi kwa moyo mkunjufu kwamba Miss Natafuta popote ulipo nataka nikuoe naomba unicheki uniulize swali lolote kuhusu mimi.
Karibu sana mama