Miss Natafuta...

Unamtaka si upm
 
Kweli unamanisha unamtaka
 
kwani mleta Uzi shida yako nn mm ninavompenda uyo mdada unayoongea naona kama unamihemko
 
Zaidi ya havae na chedi mengine ni giza mamiii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji8]

Hahahahahhaaa ni havachee thii havae... hehehehee
Ngoja Ambiele Kiviele akusaidie kamuthi yake...

Wenyewe wanasema chathu nkitamu kama madio hehehehe wenyewe wanakiita kifaransa. Haya kwaheri.
 
Nitoe kwenye hiyo orodha tafadhali....
Huyo baba tabia tabia zake anazijua mwenyewee.
Sijawahi kuwa serious JF!..........Naomba nitumie fursa hii kuwashukuru member wote wa JF ambao huwa wananielewa![emoji120][emoji120] [emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…