[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Sijawahi kuwa serious JF!..........Naomba nitumie fursa hii kuwashukuru member wote wa JF ambao huwa wananielewa![emoji120][emoji120] [emoji120]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe wewe ni muongo!!......Umeweka orodha hewa hapa![emoji119][emoji119][emoji119]
Wewe janja janja sana,mambo yako ya mtongozo huwa unafanyia pm,huwa hufanyii hapa hadharani kama mimi!![emoji23] [emoji23] [emoji23]...........Kesho nabandika screenshot zako zote za pm hapa![emoji1][emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu mimi nakuelewa sana ni utani tu
Ukibandika kesho ni ya kutengeneza, bandika sasa.Wewe janja janja sana,mambo yako ya mtongozo huwa unafanyia pm,huwa hufanyii hapa hadharani kama mimi!![emoji23] [emoji23] [emoji23]...........Kesho nabandika screenshot zako zote za pm hapa![emoji1]
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Siwezi kubandika sasa hivi kwa sababu nahitaji muda wa kufanya hacking![emoji1][emoji1][emoji1]Ukibandika kesho ni ya kutengeneza, bandika sasa.
Kutongoza sitaha ni bonge la heshima[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umeshafeli tayari, kumbe unapiga ramli!!!Siwezi kubandika sasa hivi kwa sababu nahitaji muda wa kufanya hacking![emoji1][emoji1][emoji1]
Sijawahi kuwa serious JF!..........Naomba nitumie fursa hii kuwashukuru member wote wa JF ambao huwa wananielewa![emoji120][emoji120] [emoji120]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
Ushawahiwa nn maana mapedeshee wa jf si wamchezo mchezoHapana asee
UmeshapaonaaNgoja nitazame....
Hebu muacheni mpenzi wangu....
Hahahhh JUshawahiwa nn maana mapedeshee wa jf si wamchezo mchezo
Wewe jamaa unaajira SHILAWADU?!!Wewe janja janja sana,mambo yako ya mtongozo huwa unafanyia pm,huwa hufanyii hapa hadharani kama mimi!![emoji23] [emoji23] [emoji23]...........Kesho nabandika screenshot zako zote za pm hapa![emoji1]
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe jamaa unaajira SHILAWADU?!!
Nilikuwa natania tu....Umeshapaonaa
Hujui km utani wa MTU ndiyo ukweli wakeNilikuwa natania tu....
Sasa mbn kaka yng humtaki au unapenda sana hela,,,,.. Kaka mwenyewe hayuko mbali yumo humu humuHahahhh J
Bado sijabahatika kukutana na yoyote humu
Ndio najua leo...Hujui km utani wa MTU ndiyo ukweli wake
Oooooohoooo pole yko alfu mbn utuliii Mara uwe online Mara usiwepoNdio najua leo...