Miss Natafuta...

Miss Natafuta...

Sijawahi kuwa serious JF!..........Naomba nitumie fursa hii kuwashukuru member wote wa JF ambao huwa wananielewa![emoji120][emoji120] [emoji120]
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Kumbe wewe ni muongo!!......Umeweka orodha hewa hapa![emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu mimi nakuelewa sana ni utani tu
 
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu mimi nakuelewa sana ni utani tu
Wewe janja janja sana,mambo yako ya mtongozo huwa unafanyia pm,huwa hufanyii hapa hadharani kama mimi!![emoji23] [emoji23] [emoji23]...........Kesho nabandika screenshot zako zote za pm hapa![emoji1]

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Wewe janja janja sana,mambo yako ya mtongozo huwa unafanyia pm,huwa hufanyii hapa hadharani kama mimi!![emoji23] [emoji23] [emoji23]...........Kesho nabandika screenshot zako zote za pm hapa![emoji1]

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Ukibandika kesho ni ya kutengeneza, bandika sasa.
Kutongoza kwa sitaha(pm) ni bonge la heshima[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ukibandika kesho ni ya kutengeneza, bandika sasa.
Kutongoza sitaha ni bonge la heshima[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Siwezi kubandika sasa hivi kwa sababu nahitaji muda wa kufanya hacking![emoji1][emoji1][emoji1]
 
Sijawahi kuwa serious JF!..........Naomba nitumie fursa hii kuwashukuru member wote wa JF ambao huwa wananielewa![emoji120][emoji120] [emoji120]

Hongera wewe kuna watu wanaokuelewa humu JF... Kasie bin Kasinde hajawahi kueleweka humu JF hata siku moja.
 
Back
Top Bottom