data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Nakushauri ukapitie upya sheria za if na kama unaona kuna kanuni imevunjwa report comment husika!
Huoni kama huyu binti anakua bullied.?
Sina mda wa kureport abuse.
Tunarepot abuse kwa vichaa. Hawa wanaomuandama huyu dada wote wana akili timamu.