Nakushauri ukapitie upya sheria za if na kama unaona kuna kanuni imevunjwa report comment husika!
Aisee,, So you want her commit suicide.!!
Kazi ipo.
Nakushauri ukapitie upya sheria za jf na kama unaona kuna kanuni imevunjwa report comment husika!
Kamati ya Miss Tanzania inasema ana miaka 23 amezaliwa 1991 sijui nani ni kweli?
sasa kwa nini alisema ana miaka 18?
No. I want her to step down.
Kuna mtu mwenye sifa kanyimwa haki yake.
Period.
Pengine huna muda wa kureport maana huna hoja ya kureport!Huoni kama huyu binti anakua bullied.?
Sina mda wa kureport abuse.
Tunarepot abuse kwa vichaa. Hawa wanaomuandama huyu dada wote wana akili timamu.
Kamati ya Miss Tanzania inasema ana miaka 23 amezaliwa 1991 sijui nani ni kweli?
Pengine huna muda wa kureport maana huna hoja ya kureport!
What is bullied?
Kwa hiyo watu waache kusema na kutafuta ukweli kwa kuhofia mtu fulani...
Don forget Miss Tanzania ina husu public!
Mimi ni mdau wa elimu,naomba kujifunza kitu hapa.
Miss Tanzania wa mwaka 2014 Sitti Abbas Mtemvu anadai ana umri wa miaka 18 na ana elimu ya shahada ya uzamili (Masters).
Jaman kwa namna ipi na kivipi inakuaje nisaidieni.Inachukua miaka 18 mtu kupata masters.Ina maana alianza shule na miaka 0, hata kama kasoma ulaya naomba kueleweshwa hapa kidogo.