Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Kinachoshangaza sio uongo na uchakachuaji. Huo upo kila mahali duniani.

Cha kushangaza ni wahusika katika njia yake nzima ya kufikia hapo kuwa too stupid to notice!...

You see the problem has never been UNYONYAJI wa nchi za nje, bali matatizo yetu binafsi ya akili.
 
Sijui kama kuna mshiriki wa haya mashindao ambaye hajadanganya umri wake.
 
Mkuu chill kidogo, unaweza kushangaa anayepewa hilo taji baada ya huyo bint Mtemvu kunyang'anywa naye ni muongo hivyo hivyo.

hahahahaaa umeonaeee kuna hatari ya mamiss wengine nao kulikataa hilo taji sasa, unampa taji amakuambua akuuu nimeairisha kuwa miss mimi
 
Au labda alimaanisha amenza kusex akiwa na miaka 18

Haha..hata mie nikawa na wazo hilo. Au labda mastaz ya kuti.wa ... Siku hizi vyuo ni vingi na vinatoa awards za sina nyingi.
 
hahahahaaa umeonaeee kuna hatari ya mamiss wengine nao kulikataa hilo taji sasa, unampa taji amakuambua akuuu nimeairisha kuwa miss mimi

Wabongo tunajuana sana ni watu wa fix sana sisi,utakuta fix za huyo bint Mtemvu ni cha mtoto kwa hao waliobaki.
 
Subirini arudi na taji la Miss World sijui mtaficha wapi sura zenu nyie stupid haters
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…