Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Ndio zao kushushaa miaka hawakui hao, na hata akili ya kuchambua mambo hawana..
 
Hii ni hatareeee,
Primary 7
O-level 4
A-level 2
Bachelor 3
Masters 2
Total 18
Hahaaaaa.... nursery alisomea tumboni kwa mama yake.

Usishangae kwa shule za Cambridge wanasoma primary miaka miwili yani 1-2 mwaka 1 na 6-7 mwaka 1,
akiingia sec anasoma miaka miwili anaanza degree! yani ni ful kuvukishwa.... sio elimu yetu ya ngaz kwa ngazi
 
kuna siku maajabu yatashangaa vituko vya lundenga
 
Kwikwikwi ni aibu ya ccm hiyo..baba alishazoea kuchakachua huko uccmni sasa kaleta hadi kwenye umis...
 
Labda alikuwa kipaji maalum....aliruka kutoka la kwanza hadi la nne..halafu la nne hadi saba. Kisha kaendeleea na elimu za juu kwa mtindo huo huo wa ukipaji alionao. ...!
 
Sitti amesoma UG na aliosoma nao wana 29 and above let's assume alikuwa mdogo wa darasa atakuwa na 25.

Kuna makala ya 2012 akitoa misaada kama mkurugenzi wa mtemvu foundation huku akiwa mwanafunzi wa chuo texas ina maana 2012 alikuwa 16 yrs
 
Si lazima kuwa alisoma primary 7yrs, sio lazima kuwa alisoma form 5,6. chochote chawezekana, tusifanye mazoea kuwa sheria, swali liwe is she worthy to be Miss TZ 2014 ?

Kamaliza form six mwaka 2007!
 
Kweli sasa nimeelewa ndio maana mbuta nanga alisema mwakani anakuja kushiriki....maana hapo alivyojaa bora mbuta nanga...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…