Hatugombani
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,142
- 805
aingie katika kitabu cha historia ya Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccm inaingiaje hapa?ccm bwana wanachakachua mpaka kwenye umiss yaani tanzania ni noma masikini anakabwa kila kona yaani hapumui !!! Ccm ni shiiiiidaaaaa
ana miaka 18 na ana masters...
Naona CCM wenyewe wanatahamalaki kila kona kuzima moto waliowasha wenyewe, ila ukweli unabaki pale pale kada wenu Mzee Mtemvu alihusika kwa kiasi kikubwa mshindi kupatikanaccm inaingiaje hapa?
Hii ni hatareeee,
Primary 7
O-level 4
A-level 2
Bachelor 3
Masters 2
Total 18
Hahaaaaa.... nursery alisomea tumboni kwa mama yake.
Mbona huu uso sio wa miaka 18.
Kumbe alijikondesha hapo mzurii walah wembamba ni mbaya aiseee
Si lazima kuwa alisoma primary 7yrs, sio lazima kuwa alisoma form 5,6. chochote chawezekana, tusifanye mazoea kuwa sheria, swali liwe is she worthy to be Miss TZ 2014 ?
Hahahaa
Wembamba mzuri aiseeeee
mm nadhani huyu dada atakua na miaka 22 ila kadanganya mwaka wa kuzaliwa
Sio lazima usome primary school miaka 7 unaweza soma hata 4 tu, na sio lazima usome o level miaka 4 unaweza soma hata 2 tu, na sio lazima usome advance miaka 2 hata miezi 6 inawezekana, inategemeana tu na IQ yako na uwezo wako kifedha na mtaala unaotumika sehem ulipo
Anawatoto wawili wa kiume juonn na hanksy