Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Sijui kweli nimeona pia
 

Attachments

  • 1413796713587.jpg
    1413796713587.jpg
    94.1 KB · Views: 360
Subirini arudi na taji la Miss World sijui mtaficha wapi sura zenu nyie stupid haters

Arudi nalo wapi watu wameshatuma taarifa zake tayar miss world apimwe umri wake labda ingekua kibongo uchakachuzi ila si miss world
 
Arudi nalo wapi watu wameshatuma taarifa zake tayar miss world apimwe umri wake labda ingekua kibongo uchakachuzi ila si miss world

Ni kweli uchakachuaji ni hapa Bongoland kwa sababu ya njaa wale wenzetu wameshiba hawababaiki na rushwa.
Sio kila mwanamke au msichana anaweza kuwa na sifa za mlimbwende wengine hawastahili wakafanye mambo mengine au kushangilia.
 
Mimi ni mdau wa elimu,naomba kujifunza kitu hapa.

Miss Tanzania wa mwaka 2014 Sitti Abbas Mtemvu anadai ana umri wa miaka 18 na ana elimu ya shahada ya uzamili (Masters).

Jaman kwa namna ipi na kivipi inakuaje nisaidieni.Inachukua miaka 18 mtu kupata masters.Ina maana alianza shule na miaka 0, hata kama kasoma ulaya naomba kueleweshwa hapa kidogo.



Huyo alizaliwa akiwa na miaka saba
 
Eeh makubwa cheti eti ni mwaka 1991 alizaliwa kimetolewa mwaka huu mwezi september.

Mie niliAni wataweka na copy za passport na cheti alichoombea kusafiri nje ya nchi tangu zamani

Haya evidence zinapikika sasa tunasubiri tupate vya ndani toka jikoni

Hauendi dada immigration maishani mtu uwezi kutudanganya

Huyu mzee duh alusoma na karatasi kwa uoga ili asiboronge ehhh siti kakaa anachekelea etivtumuache mmmh majanga

Kwa miss world hakuna hongo hakuna hongo

Hosp temeke mpo?
 
Tanzania hatujawahi kuwa na miss wa kuchaguliwa kwa kura ila kuteuliwa kufuatana na vigezo mfuko wako au kutoa rushwa ya kungoneka.
 
East Africa Television (EATV)
#HABARI MISS TZ 2014 SITTI MTEMVU, NI MISS
HALALI MWENYE VIGEZO VYOTE!
Kamati ya Miss Tanzania imesema kuwa haiwezi
kumvua taji Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kwa
kuwa ni Miss halali na mwenye vigezo vyote
vilivyotakiwa, na amewataka watu kutoropoka kwa
kuwa hawajui vigezo vinavyotakiwa
Akifafanua kuhusu suala la umri, mratibu wa
mashindano hayo Hashim Lundenga amesema kuwa
cheti halali walichonacho wao ni kile kinachoonesha
Sitti Mtemvu kazaliwa 24 mei 1991 na si vinginevyo.
Kuhusu suala la passport na leseni zilizosambaa
kwenye mitandao ya jamii zikionesha amezaliwa
mwaka 1989, Lundenga amesema wao huwa
hawangaali vitu hivyo wanachojali ni cheti cha
kuzaliwa.
Hashimu Lundenga amesema hakuna suala la yeye
kupewa rushwa, ila Sitti Mtemvu ameshinda kihalali
kwa kupitishwa na Majaji.
Kuhusu tuhuma za unene amesema wao huwa
hawaangalii wembamba wala ufupi, muhimu ni awe na
vigezo vinavyotakiwa
 
East Africa Television (EATV)
#HABARI MISS TZ 2014 SITTI MTEMVU, NI MISS
HALALI MWENYE VIGEZO VYOTE!
Kamati ya Miss Tanzania imesema kuwa haiwezi
kumvua taji Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kwa
kuwa ni Miss halali na mwenye vigezo vyote
vilivyotakiwa, na amewataka watu kutoropoka kwa
kuwa hawajui vigezo vinavyotakiwa
Akifafanua kuhusu suala la umri, mratibu wa
mashindano hayo Hashim Lundenga amesema kuwa
cheti halali walichonacho wao ni kile kinachoonesha
Sitti Mtemvu kazaliwa 24 mei 1991 na si vinginevyo.
Kuhusu suala la passport na leseni zilizosambaa
kwenye mitandao ya jamii zikionesha amezaliwa
mwaka 1989, Lundenga amesema wao huwa
hawangaali vitu hivyo wanachojali ni cheti cha
kuzaliwa.
Hashimu Lundenga amesema hakuna suala la yeye
kupewa rushwa, ila Sitti Mtemvu ameshinda kihalali
kwa kupitishwa na Majaji.
Kuhusu tuhuma za unene amesema wao huwa
hawaangalii wembamba wala ufupi, muhimu ni awe na
vigezo vinavyotakiwa

Pyuuu....!!! Kwishney
 
Copy paste hiyo chini ya comment nimetoa kwa blog.


" Give us a break…. eti sitti ana akili, nimesoma na sitti kabojja secondary school uganda, na ilimshinda, aliondoka. ilikua kazi yake kudodge classes. alikua akiandika barua kwa management ajielezee anaomba tumwandikie. mtu hata kuandika As(advanced subsidiary) exams alikua anaandika aiyeess exams. kadanganye hukoo uswazini kwao sio hapa.
i agree anajua kifaransa because amekaa Rwanda kwa aunt yake.But definately she is not 23 she is 26 and above. hushangai mtu aloenda marekani kusoma leo arudi kugombea umiss tz kwa lipi hasa? pulizzzz huyu ni wale wale…… let us be realistic people Miss TZ ya sa hivi ni kupelekana tu hamna maana yoyote.
hapo kapungua she is FAT tena sanamu la michelin, miguu bana nya…."
 
Naona hapo hakuna tabu as watu uweza tofautiana miaka 1 darasani
 
Back
Top Bottom