Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

ImageUploadedByJamiiForums1413979203.748113.jpg
 
Haya anayetaka kubisha abishe eti ni passport feki

Kumekucha nimetumiwa na mtu whatsapp aliyetoa huko instagram

Well done waTanzania mnaohangaikia haki na siobwatu kudanganywa kijinga.
 
Haya anayetaka kubisha abishe eti ni passport feki

Kumekucha nimetumiwa na mtu whatsapp aliyetoa huko instagram

Well done waTanzania mnaohangaikia haki na siobwatu kudanganywa kijinga.

we ni,muongo
 
Sitti ana vigezo vyote vya kushinda MISS WORLD

Anavigezo vya kushinda miss bantu ya vibibi. Na ulimshika matiti lazima ukute yamelendemka na kulegea kama ndala. Hata muonekano wake usoni unamwonesha yeye ni kibibi na hata matiti yake anaonesha anayapiga jeki.
 
feki feki

Eeeeh mbona hadi link wameweka ukitaka sechi mwenyewe. Fraud fraud fraud etc ndio hayo poleni sana, uongo wa bila kuwa na akili ndio huo.

Zinaonyesha kabisa kwa picha zingine kaingia marekani mara mbili tu,

Yaani amepanda ndege kuingia kule mara mbili na kutoka alipopotelewa cheti cha kuzaliwa....lol
 
hiyo pasport ni feki kabisa.. hata ukiiangalia tu inaonesha

Unaposema passport ni feki hnamaanisha nini au ndio una confirm nduguyo kajichanganya?

Sasa ipi feki maama ni kosa la zinaa, katoa birth cert kuomba passport ya kwanza akaenda marekani mara mbili na kurufi au ametoa birthcert feki

Maana hakuna aliyezaliza na dob mbili duniani.

Eeeh unaniita muongo, haya sasa mbona website ya wakuu wa dunia inaonyesha details zake lwa kutumia hiyo hiyo passport unayosema ni feki?

Basi duh mashtaka yatakuwa mengi maana na USA ataisikia kwa mbali, ila watu wametuma vidhibitisho kuliko waendelee kumchimba bora avue taji haraka sana

Basata na Rita nao wakizembea wanalo, wananchi wamekasirika kufanywa wajinga na sie ndio tunaona na kurusha humu evidence.

Lieni mkitaka ila mmepatikana feki ni cheti cha kuzaliwa cha juzi.
 
Back
Top Bottom