Haya, video hiyo hapo. Sijui ndo yule aliyepo pembeni anafanyiwa make up?Mpaka nimuone kwa video nitaamini picha SAA ingine zinadanganya sana kumbe kwenye video mtoto soft sana lainiiiiii
HAHAHAHAHAhuyu ataingia hadi top 10 miss tanzania....... hiyo make up itabadilika akikutana na wapaka make up wa dar na utashangazwaMake up yake mbaya kiukweli. Ila kama mrembo make up ni jambo la muhimu sana. Na napingana na wewe hapo. Ataishia kwenye zone
hahahahaha akija dar make up itabadilika na atakimbiza mbayaSikatai..ni mzuri. Ila kwa make up hiyo tunaomba abaki huko huko rukwa. Muda umefika..wanawake tupunguze make up maana zinatuzeesha tunaonekana kama majini.
Ningekuwa mimi muandaaji wa miss Tz ningepiga marufuku make ups..hapo tutapata mtu ambae ni mzuri kikweli kweli
Mshindi wa pili nimemuona hapoHaya, video hiyo hapo. Sijui ndo yule aliyepo pembeni anafanyiwa make up?
Ngoja tuone. Ntafuatilia zone yake mpaka nijue mshindiHAHAHAHAHAhuyu ataingia hadi top 10 miss tanzania....... hiyo make up itabadilika akikutana na wapaka make up wa dar na utashangazwa
Make up ziwe simple zikiwa complicated haipendezi. Waafrica tuna uzuri wetu asili..why kujibandika nywele za kondoo na marangi kibao..mtu anabadilika hata sura yake haijulikani. Anyway..huu ni mtazamo wangu..waache waendelee kuyapaka maana ndio kinachowapendeza ila mimi sioni uzuri wowote kwa mwanamke wa kiafrica kupaka makeup kama jini. Napenda kitu simple...uzuri wa asili unabaki pale pale.Kwani make up ni something permanent? I mean, make up aliyoitumia akiwa ngazi ya mkoa, ndo hiyo hiyo anatakiwa aitumie zone na kitaifa? Na kama si kitu permanent, huoni akibaki huko huko Rukwa taifa linaweza likapoteza fursa ya kupata mshindani mzuri just tu kwa kuwa alikosea kufanya make up katika level za mwanzo?
Hapo sawahahahahaha akija dar make up itabadilika na atakimbiza mbaya
Acha kutania basi Mrs Van..Huyu dada watu wamemuandama sana. Nahisi mpaka anajuta kushiriki hilo shindano. Sidhani mashindano ya umiss kama wana angalia sura peke yake.
Kumbe la mashindano ni kuvutia wanaumeMkuu point yako hasa ni nini?
Mbona mie naona yupo fresh tu au ulitaka aweje?
Kwanza nijuavyo hata wamchague nani hawezi kuwavutia wanaume wote
Kumbe la mashindano ni kuvutia wanaumeMkuu point yako hasa ni nini?
Mbona mie naona yupo fresh tu au ulitaka aweje?
Kwanza nijuavyo hata wamchague nani hawezi kuwavutia wanaume wote
picha basii miss TangaWamechemka. Hata mie kibonge navutia kumshinda miss
hata mimi kaka hiko kiemoj cha Mzigua90 kananikosesha rahaa sanaa yaan akitoagee japoo siku mbilii tuuu au hata masaa 22 tuuHakuna App ya kusogeza hako ka emoji kwenye Avatar?
Tafadhali usinidhalilishe[emoji3][emoji3][emoji3]!!kifo na usingizi wapi na wapi!Wamechemka. Hata mie kibonge navutia kumshinda miss
Tafadhali usinidhalilishe[emoji3][emoji3][emoji3]!!kifo na usingizi wapi na wapi!Wamechemka. Hata mie kibonge navutia kumshinda miss