Miss Rukwa 2018 wonders shall never end

Miss Rukwa 2018 wonders shall never end

Wanawake hawapendanagi..sishangai wewe kumdiss huyo
 
Mshindi wa pili
20180709_230450.jpg
 
Ndo nimesema nasubiria Miss Bantu mkuu. Siwezi kuwa miss hata kwa kuroga kamati yote ya Miss Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23]

Hyo event ngoja niiandae, Jf Miss Bantu. Nadhani utabeba taji teh
 
Yani wanawake sijui kwa nn huwa hawapendani na wala kukubaliana,..

kama huyo dada kachaguliwa ni kulingana na level yao, usifananishe na sehem ulipo
 
Back
Top Bottom