Miss Tanzania 2000 Jacqueline Ntuyabaliwe amejaaliwa mapacha...

Miss Tanzania 2000 Jacqueline Ntuyabaliwe amejaaliwa mapacha...

Status
Not open for further replies.
Hahahahaaa, chezea Mzee Machache aka Pua dodo wewe, ametafuta wa kuridhi biashara zake. Kweli hela ndo kila kitu.
 
jamani mna uhakika kama hawa watoto na wa yule mzee? ngoja mfanyiwe suprise na mwenye mali mtajuta!
 
kwan nyi hamjui wazee wanajua kuhudumia zaid ya hata mzee machache,hongera yako bidada mana kuna wanawake wenzio wanawasikia 2 watoto
 
Mngejua ni watoto wa mzungu hata msingemshupalia babu wa watuu!walishabwagana lol!
 
Mzee machache ndiyo yupi huyo jamani? Wengine tupo madongokwinama ebu mtupashe hapa ikiwezekana hata kutuwekea picha ya dume la mbegu mwenzangu.
 
Mzee Machache kweli kiboko. Yule Madam Funguwa njia kitoto chaanza tambaa yuko kwenye Menopause tayari hakuna mtoto pale.

Acha ushamba wewe!, it's freakin' 2012 eti MenoPause, mke wa John T. kazaa juzi and she's over 50, J.Lo, Halle Berry wamezaa over 40, Kuzaa si issue kwa wadada wa mujini Zis dayz, mfuko wako tu and pretty sure madam just didnt want kuzaa but if she wanted she could've have a child with him, If U r have some inside info about them remember she was his very FIRST public "other woman" so I think instead of mtoto she opted for mtaji...if you know wht I mean
 
hahaha! sasa ndo akili imetengemaa kumjua mzee machache, ndo yule aliyemlipa faini ya sent 1 yule Gabachori anayetumia pesa za babu yake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom