*Miss Tanzania 2008*

Haya ni madai tu na wala si ushahidi. Lete ushahidi kuthibitisha kuwa unao uwezo wa kuona malengo ya mamiss toka ndani ya mioyo yao. Ukiweza kuthibitisha hilo nitakuamini.

Nadhani unataka kunipa uwezo wa Kimungu.

Nipe definition ya CD unayiona ni sahihi na ya kuaminika ili nijue kama kuna faida kuendelea kujengana ktk hili.

Definition ya CD? nikifupisha ntakwambia ni mwanamke ambaye anaamua kutumia mwili wake kama kitega uchumi, kama njia ya kujipatia kipato!
 

Hapo sister kwa kizungu 'you've hit the nail mabinti wazuri wapo lakini wazazi na ndugu hawataki washiriki kwa kuogopa yatakayofata huo umaarufi uchwara
 
Definition ya CD? nikifupisha ntakwambia ni mwanamke ambaye anaamua kutumia mwili wake kama kitega uchumi, kama njia ya kujipatia kipato!

Kwa hiyo mwanariadha wa kike naye ni CD? Na mwanaume anayetumia mwili wake kama kitega uchumi ni nani?
 
Hapo hakuna mrembo mtakao enda kuingilio 100,000 mtaliwa tu bora mfanyie kitu kingine pesa zenu hizo.Hawa warembo sio warembo hawana sifa sijui vigezo gani vimetumika.
 

...ushauri wa bure;

katika hao watafute mrembo amabaye hata kwa mbali anashabahiana na Nancy Sumari, kisha wamchukue Nancy Sumari kama mkufunzi wa hao warembo, waangalie Nancy Sumari alifanya nini mpaka akaweza kufikia pale alipofikia kuwa mrembo toka kanda ya Afrika.

These people never learn, unless hawa waandaaji na Nancy mwenyewe wanaamini alishinda kwa "kudra za mwenyezi Mungu"!
 
Kama sijakosea huyu mdada yupo kwenye kile kipindi cha bongo dar es salaama akiwaingiza watu mji nadhani mamiss wenzake wawe makini asijekuwangiza town

Ule ni mchezo tu kuelimisha watu wawe makini wakija dar,afadhali huyu anatafuta riziki kwa njia hiyo ya halali na sio kama hao wanaoonekana jolly, na hapa dar hamna msichana mwenye heshima zake anaweza kukubali umpeleke pale
 
Ule ni mchezo tu kuelimisha watu wawe makini wakija dar,afadhali huyu anatafuta riziki kwa njia hiyo ya halali na sio kama hao wanaoonekana jolly, na hapa dar hamna msichana mwenye heshima zake anaweza kukubali umpeleke pale

Nakubaliana na wewe Khoryere ni kweli kabisa wale wanajitafutia kipato pia nawashauri wawekeane mkataba ba TBC yasijekuwatokea kama ze comedy na KAole
 
Wakuu mi kawaida huwa sina macho lakini kwa hapa nimetazama lakini sijaona japo nimefikicha fikicha!

naona warembo bado hawajazaliwa.....
 

Shukrani,

Sijui kama u rational kiasi gani..

Kimsingi sidhani kama unaweza na ukawa sahihi kutumia moral stds zako na upeo wako kumjudge mtu mwingine. Sijui unatumia reference gani..hapa naona umepotoka. Na ndio maana nimeshangazwa na watu kama wewe kujificha nyuma ya PC na kurusha kejeli na matusi ya nguoni kwa washiriki wa urembo, kumbe only you have is your moral std & upeo?! Mimi nafikiri wewe ndiye haswa mdhalilishaji kwa kurusha matusi kwa mtu specific mbele ya kadamnasi hii ya JF.Naomba uombe radhi kwa hili.

Nilijua hutajibu vizuri swali langu. Hivi jamii kweli ndio mtendewa wa udhalilishaji? Mtendewa basically is the same as Mdhalilishwaji ktk kadhia hii.

Kimsingi hakuna btn lines.

Alamsik.
 
Nadhani unataka kunipa uwezo wa Kimungu.

Taratibu mkuu..Huo uwezo umejinadi menyewe kuwa unao.

Wewe menyewe umesema unao uwezo wa kujua nia za washiriki wa urembo, kwamba eti ni ma-CD wanaofanza biashara(?)



Definition ya CD? nikifupisha ntakwambia ni mwanamke ambaye anaamua kutumia mwili wake kama kitega uchumi, kama njia ya kujipatia kipato!

Kila bin'adamu (wewe ukiwemo) anatumia mwili wake kujipatia riqzi kwa namna anuai. Na hiyo ndo mana'ke.

Kwa hiyo na wewe ni CD wa kiume?

Meter ya rationality inapima 'zero'?
 

for me..tusekile na rona swai!!!! washindi haooooooooo
 
Mimi kwanza naanzaanza kwa kusema samahani, kwani kwa mwaka huu mmhh sijaona kisura sijui vigezo gani vilitumuka, maana warembo wote ni wa kawaida... ningekuwa mimi ni JAJI ningesema warembo wote wametoka droo, hakuna mshindi.............
 

Sasa wewe ulitaka niji-judge mwenyewe? Na naona unapenda sana kutumia neno ati kujificha nyuma ya PC na kurusha kejeli... unanifurahisha .

Ukiniambia kama una interest ni minada hii ya mabinti ya kila mwaka ntakuelewa lakini si kwa kutaka kuja hapa na hoja zako hizo. Sihitaji kusema ni vipi nimefikia conclusion yangu na sidhani kama nahitaji to justfy my statements to you... pia sina mpango wa kuwithdraw hata moja kati ya hizo kwa sababu niongeacho kipo sawa.

Unaposema matusi una maana gani? Na unataka niombe radhi kwa lipi?
 
Hizi Picha naona wamechukua vibaya..maana nimejitahidi kuifanya akili yangu ipate picha ya uzuri kwa hawa mabinti lakini naona imeshindikana...labda ziwekwe nyingine maana unaweza sema sio viwango kumbe kamera imechukua vibaya.........ila uyo aliyenyoa kipara..!!? duh!!
 
Kila bin'adamu (wewe ukiwemo) anatumia mwili wake kujipatia riqzi kwa namna anuai. Na hiyo ndo mana'ke.

Kwa hiyo na wewe ni CD wa kiume?

Meter ya rationality inapima 'zero'?

Soma uelewe na usingoje kueleweshwa kijana. Naweza kuwa CD wa kiume na ndio maana nakuwa nafahamiana vizuri zaidi na Ma CD wa kike ndugu hilo nalo litilie maanani.

Naona unajaribu kutumia maneno yangu against me,endelea maana sidhani kama yanaweza weka tofauti yoyote husiana na ukweli nilioongea husiana na Minada hii ya Kisasa. Kama ni mdau wa fani cya Urembo nadhani utajaribu na kuhakikisha ya kwamba yanayofaa uyachukue na myafanyie kazi.

Meter ya Rationality inapima Zero... well i suggest you read my signature husiana na hilo.
 

jamani tusiwe backward namya hiyo..hii ni 2008,
miss world is for a great purpose and at the same time the girls joining in are mostly into doing good, and also to represent their countries pia to be proud of their goodself.
so most of the girls who join miss tanzania, they offcourse will see themselves being disturbed by ill thinking, weirdos ambao wanafikiri ukiwa mzuri wewe ni changudoa, and these are the same guys who will go out talking ill about the girls after kunyimwa!! ha ha
anyways, again i ask you people not be backward...
 

Nashukuru kuwa maswali yangu machache yamepembua u mtu wa namna gani.

Conclusion: Kimsingi huna hoja.

Alamsik.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…