Miss Tanzania 2010

Miss Tanzania 2010

Mie naona ni mrembo tu huyo hamna noma bana.
Cha msingi tumeamua kumpata miss halisi wa kitanzania ambaye hata akishika mkia miss world hatutolalama kama miaka yote
 
Mie nadhani 2nd runner's up ndio angefaa kuwaa Miss Tanzania 2010 hebu mcheki;

aa.JPG
 
2nd runner-up anaonekana mzuri zaidi kwangu mimi..
 
Kusema ukweli mamiss ni wanene halafu alieshinda mbona anaonekama mtu mzima fulani??:confused2::confused2::confused2:
 
I wasn't suprised when she was selected as winner because of her answer... however the judges should also look that she is going to represent our country in Miss World where they also see if the candidate is worth being as semifinalist, may be am being too judgemental but i do not see her creating wonders in Miss World contest... It is high time the judges select a winner who doesn't also look beautiful from inside but outside too
 
si umeliona! kuna mtu aliuliza kwenye picha ni mama yake huyo miss au miss mwenyewe? ....:confused2:


ni kweli jamani kwenye ile video katokea cjui kitu gani, na walivyombandika hizo make ups ndio bac tena, cpendagi kukosoa lakini kwa kweli mic wa sasa matata kuliko niliowahi kuwaona, hakustahili hata kuwepo kwenye top ten, kuna hiyo mwingine kwenye top 5 amevaa gagauni cha red yaani ame fake smile mpaka inackitisha.
 
Kusema ukweli mamiss ni wanene halafu alieshinda mbona anaonekama mtu mzima fulani??:confused2::confused2::confused2:


ana age gani kwanza, mana utasema 40's jamani, au ni pics tu zinamfanya atokee hivyo?
 
Mie nadhani 2nd runner's up ndio angefaa kuwaa Miss Tanzania 2010 hebu mcheki;

aa.JPG


Mimi kura yangu kwa huyu Miss Tanzania anaonekana si mvivu ana uwezo mkubwa wa kutawala jukwaa tofauti na huyo namba mbili anaonekana ni mvivu kila idara.Niko pamoja na majaji wako makini sana safari Tanzania lazima itoe Miss World hakuna ubishi mnoamponda wivu umewajaa.
 

Mimi kura yangu kwa huyu Miss Tanzania anaonekana si mvivu ana uwezo mkubwa wa kutawala jukwaa tofauti na huyo namba mbili anaonekana ni mvivu kila idara.Niko pamoja na majaji wako makini sana safari Tanzania lazima itoe Miss World hakuna ubishi mnoamponda wivu umewajaa.

hajutafikia huko jamani kaka ni uhuru wa kutoa maoni tu.
 
Back
Top Bottom